Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,743
- 50,141
Hv Jeshi la wananchi hua zinatangazwa? Maana naonaga za uhamiaji na police tu!Karibu
Hv Jeshi la wananchi hua zinatangazwa? Maana naonaga za uhamiaji na police tu!Karibu
Ndio utangazwa. Umepita JKT?Hv Jeshi la wananchi hua zinatangazwa? Maana naonaga za uhamiaji na police tu!
Interview lini ukishatuma Mkuu.Karibuni
Maelezo yote yapo kwenye tovuti ya Police (website ya ajira Police tz) check hizi screen shots (azipo kimpangilio )hope zitakusaidia all the Best Mungu akusimamie🙏Interview lini ukishatuma Mkuu.
Omba kwa kutumia cheti cha form 6kwa siye ambao fani zetu hazipo tunafanyaje 🥲
Muwe mnasoma matangazo wakuu, tangazo kama umelisoma linaeleza kabsa hakuna sehem wanataka cheti cha jkt, means wamekitoa japo kweny mfumo wao wa kuomba kuna sehem ya kukijaza kama other qualificationsHivi wakuu hizi nafasi zilizotangazwa ni hadi uwe umepitia mafunzo ya JKT?
Tangu walivyotangaz hizo ajira sijaon hat mar moja kufunguk . Vp wew iliwez kufungukMuwe mnasoma matangazo wakuu, tangazo kama umelisoma linaeleza kabsa hakuna sehem wanataka cheti cha jkt, means wamekitoa japo kweny mfumo wao wa kuomba kuna sehem ya kukijaza kama other qualifications
Check PM nimekutumia Tangazo na Maelezo jinsi ya Ku apply Kazi Police- kama unahitaji maelekezo zaidi KaribuTangu walivyotangaz hizo ajira sijaon hat mar moja kufunguk . Vp wew iliwez kufunguk
Network inakuwa bize kama vipi night kali ingia online and applyTangu walivyotangaz hizo ajira sijaon hat mar moja kufunguk . Vp wew iliwez kufunguk
Ndio sema inabidi uhangaike nao sana mtandao wao ndo ukubali, maana watumiaji ni wengiTangu walivyotangaz hizo ajira sijaon hat mar moja kufunguk . Vp wew iliwez kufunguk
Endelea kukomaa nao mkuu utakubali, mtandao wao unawatumiaji wengi saivi kwahyo keep trying utakubali tuunimejaribu kwa simu imekataa nikaja kutumia laptop pia imegoma sas sijui inakuwaje sas na siku zimebaki 5
sasa mkuu wewe umeambiwa mwisho point 28 na ww una 29 unataka uombe huoni kama kgezo kinakuengua mzee wanguhabari zenu jamani,naomba kuuliza nimeona wale walioshia form 4 mwisho point 28,je nikawa na point 29 je nawza kuomba ama nipotezee tu kuomba
Yamekua hayo tenaa hahaHawa ndio unawakuta wenyewe wapo jikoni wanakuja huku kupima upepo kwanza