Unaelewa lugha lakini? Kwani hapo shida ni kwa TZ vs Kenya au TZ and Kenya vs Uganda, Burundi and South Sudan? Rwanda yupo neutral. Hujasoma mwandishi kasema while the big economies Kenya and Tanzania are on the other side? Hujaona watanzania wangapi wameitwa kwenye interview vs Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na South Sudan?
Watu wengi kila wakati mwataka kuisema vibaya nchi yenu, ndio maana hatuendelei hivihivi.