Shararizo
Member
- Aug 14, 2017
- 40
- 19
Ni miezi kadhaa sasa imepita tangu Rais wa Uganda Yoweri museveni na Rais wa Tanzania John Magufuli kusain makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta katika nchi hizi mbili.
Swali ni je, ujenzi utaanza lini? maana tuliambiwa kuna ajira zaid ya elf 10 na vijana wengi wamekaa mkao wa kula kusubir hizo ajira.
Ikumbukwe, mwaka 2018 TaESA walitoa waraka watu wakajiandikishe ili wajue kama wataalamu wanatosha na toka hapo hawajasema lolote mpaka leo hii.
Swali ni je, ujenzi utaanza lini? maana tuliambiwa kuna ajira zaid ya elf 10 na vijana wengi wamekaa mkao wa kula kusubir hizo ajira.
Ikumbukwe, mwaka 2018 TaESA walitoa waraka watu wakajiandikishe ili wajue kama wataalamu wanatosha na toka hapo hawajasema lolote mpaka leo hii.