stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,834
- 22,946
Duh,huzuni kubwa sana,sasa sijui wale wanaosema haupo hapa watazungumza nini.Jamani tusijidanganye,Ukimwi upo na unauwa,tuendelee kuchukua tahadhari,unapokupata hutakuwa na wanzako unabaki peke yako ukitafakari na nafsi yako,hapa ndipo panapohotajika hekima ya Mungu either uendelee kupambana kwa kuishi nao au ukate tamaa na kuamua kujitoa uhai...Sophia Charles Odipo mwenye umri wa miaka 23 Mkazi wa Mseto amefariki baada ya kujinyonga chanzo kikiwa ni baada ya kwenda Hospitali kupima afya yake mara mbili na kugundulika ana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amesema "Huyu Dada alijinyonga kwa kamba mpaka kufa chumbani kwake baada ya kwenda Hospitali na kugundulika ana maambukizi ya UKIMWI"
Millard