NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,524
- 17,428
Jamaa nae! Kazingua aiseh!!
Haraka haraka haina mbaraka walisema wahengaAngejipa muda huyo,sasa amepata ajali ya kiuno, angekitibu kiuno angekuja kukaa sawa, amefanya maamuzi ya chap chap sana!!
Upo sahihi! Ni manyanyaso toka kwa mke wakeNimemhurumia sana
Stress na kuzungukwa na watu wasio sahihi ni mbaya mnoo
Naamini kabisa watu au mtu wake wa karibu ndio chanzo cha yote hayo
Hivi ukiwa na mahusiano halafu mwenzio akavunjika mgongo mahusiano yanaendelea au ndio hivyo tena👐👐👐
Upo sahihi! Ni manyanyaso toka kwa mke wake
Mkuu hii habari inasikitisha lakini ujumbe wako umenifanya nicheke sana🤣Sasa uume una shida gani jamani?
Angekata kiuno tu.
Omba Mungu akupe maarifa ya kutambua kuwa uume siyo kwa ajili ya kugegeda.
Akili za Wagogo ni fupi sana, kama yule jamaa MC
Angejitoa uhai yaishe kuliko kuukata na kuishia kupata mateso anayopitia sasa.ukikumbuka ile kitu ilivyo taam, akaona isiwe shida bora afe tu kuliko kuwa anaikula kwa macho.
Obvious mwanamke anamsimanga kuwa yapo wapi sasa hata k unaiona kwa macho tu. Na hao ulokuwa unatamba nao wenzako wanaendelea kiroho safi wakati yako haisimami…Na ikitokea alikua anautumia vibaya na kumnyima mke raha hapo ndio pagumu zaidi
Sasa uume haufanyi kazi atakataje kiuno?Sasa uume una shida gani jamani?
Angekata kiuno tu.
Omba Mungu akupe maarifa ya kutambua kuwa uume siyo kwa ajili ya kugegeda.
Akili za Wagogo ni fupi sana, kama yule jamaa MC
Hiyo bado sio sababu yakujizuru.sasa akifa ndo huyo mwanamke hatagongwa?.Si bora angekuwepo akalea watoto kuliko kuwaza ujinga.Na isitoshe alijuaje kama hatakuja kupona.Usiseme hivyo omba MUNGU akulinde.
Huyo tayari ana mke na watoto.
Unajua mkewe anataka Nini?
hapo mke ameshaomba alafu jamaa kashindwa kupeleka Moto .kinachofuata NI dharau na kugongewa
Acha tu
Hawa ni warangi mkuu😂😂😂Sasa uume una shida gani jamani?
Angekata kiuno tu.
Omba Mungu akupe maarifa ya kutambua kuwa uume siyo kwa ajili ya kugegeda.
Akili za Wagogo ni fupi sana, kama yule jamaa MC
Kilichokatwa ndiyo kinachomsikitisha na siyo mtu kama hauelewi!Kama unamjua vileeee!