Ajali zimekuwa nyingi, abiria paza sauti

Boran Jakutay

Senior Member
Apr 8, 2023
110
255
ajali-pic (1).jpg

Je wajua vyanzo vya AJALI barabarani? Abiria kuwa kimya bila kukemea au kutoa taarifa polisi dhidi ya makosa yafuatayo:

1: Dereva kuyapita magari ya mbele bila TAHADHARI.

2: Dereva kuendesha gari akiwa amelewa pombe au dawa za kulevya.

3: Dereva kuendesha chombo kwa mwendokasi.

4: Dereva kuendesha chombo kikiwa na abiria au mzigo kuzidi uwezo wake.

5: Dereva mmoja kuendesha chombo kwa muda mrefu zaidi ya saa nane.

6: Kupanda gari bovu bila kutoa taarifa kwenye taasisi husika.

7: Abiria kushabikia au kuchochea mwendokasi na wengine kukaa kimya.

8: Dereva au Kondakta kutoa rushwa ili kukimbiza gari zaidi (mwendokasi)

NB: TOA TAARIFA PINDI UONAPO UVUNJIFU WA SHERIA UNAOWEZA KUHATARISHA MAISHA YAKO AU YA MWENZAKO.

ajali-pic.jpg
 
9. Ufinyu wa barabara pia ni chanzo ya ajali nyingi- ni muda sasa kwa serikali kuanza kuangalia uwezekano wa kupanua barabara zetu kuu za kwenda mikoani, kwa kiwango cha njia nne, mbili zinaenda , mbili zinarudi, hii itapunguza sana ajali za overtaking.

Hili la abiria kutoripoti mienendo mibaya ya gari na dereva, napendekeza kila basi la abiria libandikwe namba ya simu ya call centre ya trafiki - ili iwe rahisi kutoa taarifa .
 
9. Ufinyu wa barabara pia ni chanzo ya ajali nyingi- ni muda sasa kwa serikali kuanza kuangalia uwezekano wa kupanua barabara zetu kuu za kwenda mikoani, kwa kiwango cha njia nne, mbili zinaenda , mbili zinarudi, hii itapunguza sana ajali za overtaking.
Hili la abiria kutoripoti mienendo mibaya ya gari na dereva, napendekeza kila basi la abiria libandikwe namba ya simu ya call centre ya trafiki - ili iwe rahisi kutoa taarifa .
Wazalendo uchwara watapinga, watakwambia wao wanataka maendeleo ya watu sio ya vitu kama mabarabara, flyovers nk.

Hayati Magufuli alipigwa vita sana juu ya ujenzi wa njia sita katika barabara ya Morogoro road. Leo hii wapingaji wakipita katika barabara hiyo wanakenua menu huku mbupu wameziacha wazi ili zipate hewa.
 
Kataa ajali,

Kataaa mwendokasi,

Mwendokasi unaua,

Mwendokasi unaleta ulemavu wa kudumu ,

Kawia ufike.
 
View attachment 2666115Je wajua vyanzo vya AJALI barabarani? Abiria kuwa kimya bila kukemea au kutoa taarifa polisi dhidi ya makosa yafuatayo:

1: Dereva kuyapita magari ya mbele bila TAHADHARI.

2: Dereva kuendesha gari akiwa amelewa pombe au dawa za kulevya.
ISHA YAKO AU YA MWENZAKO.

View attachment 2666117
Imezuka tabia ya kijinga sana ya watu kushangilia mashindano ya hizi basi za abiria. Huu ni ushamba na ujinga na ni chanzo cha ajali nyingi tu. Mamlaka lazima zichukue hatua.
 
Je wajua vyanzo vya AJALI barabarani? Abiria kuwa kimya bila kukemea au kutoa taarifa polisi dhidi ya makosa yafuatayo:

1: Dereva kuyapita magari ya mbele bila TAHADHARI.

2: Dereva kuendesha gari akiwa amelewa pombe au dawa za kulevya.

3: Dereva kuendesha chombo kwa mwendokasi.

4: Dereva kuendesha chombo kikiwa na abiria au mzigo kuzidi uwezo wake.

5: Dereva mmoja kuendesha chombo kwa muda mrefu zaidi ya saa nane.

6: Kupanda gari bovu bila kutoa taarifa kwenye taasisi husika.

7: Abiria kushabikia au kuchochea mwendokasi na wengine kukaa kimya.

8: Dereva au Kondakta kutoa rushwa ili kukimbiza gari zaidi (mwendokasi)

NB: TOA TAARIFA PINDI UONAPO UVUNJIFU WA SHERIA UNAOWEZA KUHATARISHA MAISHA YAKO AU YA MWENZAKO.

Tatizo mama samia ni mpole mno alafu anawategemea wateule wake akidhani wanafanya kazi kumbe ni wanasitarehe tu mfano huyu mkuu wa polisi na waziri wa mambo ya ndani tangu wateuliwe sijui wako wapi
 
4: Dereva kuendesha chombo kikiwa na abiria au mzigo kuzidi uwezo wake
Hapa dala dala na mwendo kasi zinahusika au tuanzitoa?
6: Kupanda gari bovu bila kutoa taarifa kwenye taasisi husika.
Hapa dala dala wala hakuna haja ya kuzitafuta ni kama 99% hazifai, ila mbona ziko road kila uchwao? Hawazioni au hatuzioni?


Mwisho ni tunaripoti wapi?

Share Mawasiliano tafadhali
 
9. Ufinyu wa barabara pia ni chanzo ya ajali nyingi- ni muda sasa kwa serikali kuanza kuangalia uwezekano wa kupanua barabara zetu kuu za kwenda mikoani, kwa kiwango cha njia nne, mbili zinaenda , mbili zinarudi, hii itapunguza sana ajali za overtaking.

Hili la abiria kutoripoti mienendo mibaya ya gari na dereva, napendekeza kila basi la abiria libandikwe namba ya simu ya call centre ya trafiki - ili iwe rahisi kutoa taarifa .
Bila njia sita au nne highway zote haiwezekani kupunguza ajali ,
 
Je wajua vyanzo vya AJALI barabarani? Abiria kuwa kimya bila kukemea au kutoa taarifa polisi dhidi ya makosa yafuatayo:

1: Dereva kuyapita magari ya mbele bila TAHADHARI.

2: Dereva kuendesha gari akiwa amelewa pombe au dawa za kulevya.

3: Dereva kuendesha chombo kwa mwendokasi.

4: Dereva kuendesha chombo kikiwa na abiria au mzigo kuzidi uwezo wake.

5: Dereva mmoja kuendesha chombo kwa muda mrefu zaidi ya saa nane.

6: Kupanda gari bovu bila kutoa taarifa kwenye taasisi husika.

7: Abiria kushabikia au kuchochea mwendokasi na wengine kukaa kimya.

8: Dereva au Kondakta kutoa rushwa ili kukimbiza gari zaidi (mwendokasi)

NB: TOA TAARIFA PINDI UONAPO UVUNJIFU WA SHERIA UNAOWEZA KUHATARISHA MAISHA YAKO AU YA MWENZAKO.

Nimecheka na kusikitika kwa wakati mmoja Eti kwanini trafiki polisi wajifiche Porini .Kwanini tunasimamishiwa hovyo njiani mbona tumeshakaguliwa stendi.Yaani wanasiasa wanaofanya biashara ya usafirishaji abiria wakawakalipia hao Mapolisi sasa sijui hao Mapolisi wamesusia kazi au nini maana takwimu inaonesha tokea kalipio hilo ajali zimeongezeka
 
IGP wekeni namba za trafiki kila mahali ili dereva akileta ujinga you call the nearest police station for help.
 
Je wajua vyanzo vya AJALI barabarani? Abiria kuwa kimya bila kukemea au kutoa taarifa polisi dhidi ya makosa yafuatayo:

1: Dereva kuyapita magari ya mbele bila TAHADHARI.

2: Dereva kuendesha gari akiwa amelewa pombe au dawa za kulevya.

3: Dereva kuendesha chombo kwa mwendokasi.

4: Dereva kuendesha chombo kikiwa na abiria au mzigo kuzidi uwezo wake.

5: Dereva mmoja kuendesha chombo kwa muda mrefu zaidi ya saa nane.

6: Kupanda gari bovu bila kutoa taarifa kwenye taasisi husika.

7: Abiria kushabikia au kuchochea mwendokasi na wengine kukaa kimya.

8: Dereva au Kondakta kutoa rushwa ili kukimbiza gari zaidi (mwendokasi)

NB: TOA TAARIFA PINDI UONAPO UVUNJIFU WA SHERIA UNAOWEZA KUHATARISHA MAISHA YAKO AU YA MWENZAKO.

weka namba za polisi kwa kilakituo cha polisi
 
Back
Top Bottom