wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,187
Basi ilo linalofanya safari zake kati ya Dar kwenda Iringa limepata ajali maeneo ya kidoma.
Madhara
Hakuna madhara yoyote kwa abiria zaidi ya staff wa basi hilo kondakta
Chanzo cha ajali ni mwendokasi na dereva kujaribu kulipita gari jingine bila tahadhari.
Madhara
Hakuna madhara yoyote kwa abiria zaidi ya staff wa basi hilo kondakta
Chanzo cha ajali ni mwendokasi na dereva kujaribu kulipita gari jingine bila tahadhari.