mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,026
- 2,106
Tanroad mbona mnatana tuwafanyie kazi zenu au hadi raia wapange mawe barabarani kuzuia magari ndio mtaelewa ? Ajali maeneo hayo na kama hayo yenye kona zimezidi.....fanyeni utaratibu mupunguzie speed vyombo vya moto.
Pia Polisi kagueni leseni , hawa vijana boda boda wengi hawana leseni kabisa na wakikugonga wanajaa kutaka kukudhuru na wao ndio wanavunja sheria.
Pia Polisi kagueni leseni , hawa vijana boda boda wengi hawana leseni kabisa na wakikugonga wanajaa kutaka kukudhuru na wao ndio wanavunja sheria.