Kuiwashutumu Vodacom Zitto amekurupuka. Kama kweli watanzania wangekuwa na majonzi kamam Zitto na wenye akili finyu kama za kwake wanavyotaka kutuaminisha ukumbi ungekuwa mtuopu na waandaaji kupata hasra, ili siku inginbe wajue utamaduni wetu. Lakini kama ukumbi ulijaa na waliojazana humo ni watanzania taifa halina majonzi yoyote kama ambvyo tusivyokuwa na majoniz wakati kila mtu akitumia dhamna aliyonayo kukwapua chake mapema na kuwaacha watanzania wengine wakipoteza maisha kwa kukosa huduma.