Ajali ya Meli: "Taifa Msibani, Umoja wetu na Utu wetu shakani!" - Zitto Kabwe

CCM, CCM, CCM, CCM..... I'll say it again...the culprit here is CCM!!


Tutazunguka mbuyu weee, lakini mchawi mkuu na mwenye macho mekundu kuliko wote hapa tunamjua, naye ni CCM!! Huyu ndiye mchawi wa hii nchi.

Irresponsible governance, individual and institutional corruption, mismanagement of resources, decades in power, decades of underdevelopment, scandal baada ya scandal kila kukicha, hamna anayewajibishwa, hamna anayewajibika. Nchi iko gizani, uchumi unayumba, ahadi zisizotekelezeka haziishi. Majanga yanayozuilika yanazidi kujitokeza, again and again, hamna anaye take responsibility. Mikataba mibovu, accountability & transparency almost zero. CCM, CCM, CCM!! Kwenye majukwaa majigambo kibao, madoido kibao, kazi kugawa kanga na kofia. Chaguzi zikipita kila pahala watu wanakata tamaa na kujawa na maisha yenye fedheha.


This stinking old dinosaur of a party is at a stage of needing to be buried alive. It's a rot with maggots wriggling out of its skin. Only beneficiary of the system at this stage of decay are scavengers. It is thee maggot feeders, the hyenas and vultures of our society. No responsible individual would dream of associating her/himself to such a thing.


Juzi tu ubalozi wa Uingereza ume-issue travel warning kwa raia wake wanaokuja Tanzania kutokana na kuongezeka kwa ajali. Jana ajali inatokea. Mwenyezi Mungu awarehemu wote walioangamia na kuwafariji wanafamilia, Amina.

Imefika wakati Watanzania tukubali kubadilika. Walau basi kujaribu kubadilka. Mabadiliko hayo yanaanza na kura kwenye chaguzi mbalimbali. Chagua chama tofauti au chagua mtu tofauti na ulivyozoea. Bila kuji-empower sisi wenyewe kwa kutumia nguvu ya kura tuliyonayo, tutazidi kulaumiana hadi ukamilifu wa dahari. Na taratibu mzizi wa chuki baina yetu unazidi kutambaa, huku hii mi-scavengers ya mfumo wetu ikizidi kunenepeana na mitoto yao!!

Mungu Ibariki Tanzania Na Watu Wake.
 
My condolence to Zanzibarians for this very unfortunate disaster, its sad and shame. So sad for the children, they are innocent and deserve no harm. Once again, my sympathy to all the family of the victims.
 
Mimi nadhani hasira zetu hazijaelekezwa mahali sahihi. Maana walipokufa watu Gongo la Mboto, Mbagala, watoto 21 pale Tabora tena siku ya Idi ni wachache wetu tuliona jambo hili. Miss Tanzania wangeacha kufanya show kungetufanya tujisikie vizuri kidogo lakini kusingeondoa ukweli kuwa tatizo ni serikali na mfumo wake uliopo. Wanaotakiwa kukatyaliwa na kuadhibiwa ni serikali ya CCM na watendaji wake.

Hivi serikali ilitangaza saa ngapi kuwa taifa limeanza maombolezo ya siku tatu maana wengine wamehesabu siku za maombolezo kuanzia leo Jumapili na siyo jana Jumamosi.

CCM, CCM, CCM, CCM..... I'll say it again...the culprit here is CCM!!

Wakuu CCM ni sehemu tuu ya tatizo. Kama sijakosea Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano ya Zanzibar inaongozwa na Waziri toka chama cha CUF: Hamad Masoud Hamad. Ni karibu mwaka sasa tokea wachukue hii wizara and as you can see nothing has really changed.

 
mimi napinga vikali sana wapuuzi wanaopinga analosema zito juu ya TBC na Vodacom, nataka nisisitize kwa herufi kubwa kwamba TBC sio TV zote, TBC1 ni TV yetu na hatuwezi kudai kwamba ni sawa tu wao wakiendelea kuonyesha viuno, huu ni ushenzi wa TBC1 na ushenzi wa wanoaleta ushabiki humu kwenye jambo la msingi kama hili. Vodacom leaves a lot to be desire kuanzia leo naunga mkono uamuzi wa ku boycot huduma za washenzi hawa, lakini turudi tena tatizo la ndani humo ni unafiki na uduni wa local staff, kama watanzania waliowekwa kwenye madaraka hawana uzalendo na kuwajulisha kwa vitendo mabosi wao umuhimu wa kuahirisha shughuli, kwa nini wazungu wajali? lakini ndio tunarudi pale kujiambia mtaalamuwa international relations anapopewa portfolio za marketing, na kadhalika sio tu anaonyesha kupendelewa, lakini inaonyesha ni namna gani quality ya hao wanaoitwa makampuni ya nje yalivyo. Simuonei wivu mwamvita pamoja na kwamba mimi ni mwanamke mwenzake, lakini kama mtu niliye excell kwenye management, tena nikianzia kwenye portfolio ya marketing najua hakuna cheo kama hicho duniani, kwa hiyo ni upuuzi tu kuitwa unavyoitwa, na ndio hapo tunaporudi kujiuliza hawa mabosi tunaoambiwa na vibaraka wa kuua uchumi wetu wakina Rostam kwamba ni wawekezaji, mbona uwezo wao ni mdogo sana? Ni kwa kuwa tu vodacom kama yalivyomakampuni mengi ya namna hiyo wanaishi kwa kukwepa kodi lakini ingekua tuna serikali makini wangeshafunga virago. Mh zitto pamoja na kukubaliana na wanaosema na wewe ni msaliti, lakini katika hili ninakupongeza sana na naomba uanzishe kampeni ya kususia huduma za voda tafadhali. come to mshana wa TBC he is a stouge wa wakina Premier na tapeli Kim, ndio waliomuweka madarakani, hapo alipo hajua nani master wake, ndio maana hawezi kufanya kitu mpaka ambiwe ruka juu, na yeye atauliza urefu gani, sasa juzi walisahau kumuambia afanye nini. Lazima tufike mahali tuanze kutoa ajira kwa uwezo wa mtu sio tu kwa sababu fulani ni mwenzetu, tunasubiri kwa hamu moto wa Libya na kwingineko maana ndio utafungua masikio yao hawa kwa maneno wanaonekana ni sugu.
 
Embu achane ujinga. Voda sio serikali. Miss Tanzania sio shindano la serikali. Kwani ni wote lazima tuomboleze? Maana ya kuomboleza ni nini? Baa na kumbi za starehe zifungwe? Tv stations zifunge matangazo?
Wacha wanaotaka kwenda kujirusha wajirushe. Huo ndio uhuru. Kama serikali imeanza maombolezo, hayo ni kwenye mambo ya serikali, na sio katika maisha ya wananchi. Ivi mbona hamjui mipaka ya serikali nyie?
 
UJAMAA NA UPEBARI ni vitu viwili tofauti, siasa za ujamaa zainajali UTU.....tumeingia wenyewe kwenye ubepari ambapo faida ina nafasi kubwa kuliko utu twalaumu....VODACOM...si wa kulaumiwa pekee,wadhamini wengine walikuwepo kama ...

NAO WANA NAFASI, WASHIRIKI NYIE MWAITA WALIMBWENDE.....WAPO WALIOTOA GARI LA MILIONI 80.....WHY VODA PEKEE?

TBC.... kama chombo cha habari lazima kikusanye taarifa iliyokamilika na kuirusha hewani,hawawezi kurusha TETESI NA UVUMI....when we judge them we have to be fair enough

Yote uliyosema sawa isipokuwa kwenye red, mbona kwenye issue za kupalilia magamba TBC hutumia resources nyingi sana, ilishindwa vipi kumlipia mwandishi mwenye camera nauli ya flight hadi zbar kutujuza on the spot assesment. Nakumbuka MV Victoria ilipozama BBC walikodi charte flight kwa correspondent wao wa Nairobi kuja Mwanza na ndiye aliyepiga ile picha inayoonyesha "tip of the ship when descending" BBC waliiuza hiyo picha ulimwengu mzima. Haya mamabo yanahitaji creatiuvity tu kama wanavykuwa creative kuwaponda wapinzani na kuipalilia magamba.
 
Huyo ndo zitto mnafiki wa kweli! ukimfata unauvaa mkenge. anailaumu vodacom na miss TZ bila kusema chochote kuhusu chama cha magamba kuendelea na fiesta igunga siku hiyo hiyo tena mapema zaidi kuliko muda ilipofanyika miss tz. sijui kwa nini taarifa ya zitto haijagusa kabisa fiesta ya ccm pale igunga, anaficha nini? anamlinda nani? ana maslahi gani ccm? unafiki. huyo ismael jissu hukumuuliza wakati wanafunzi wanakufa maji sengerema na mabomu yanaua watu gongo la mboto tvz ilikuwa inarusha kitu gani? we nee
Google

Muishiwa oops mheshimiwa anadai alifungua a/c ya twitter ili kutwet na kuwahabarisha watz kuhusu hiyo ajali..talking about viongozi au wanasiasa uchwara ambao wako out of touch..watz wene umeme hawazidi asilimia 15 na tatizo la umeme bila shaka % imepungua, na kati ya hao ni wangapi wana computer au simu za kuezesha kusoma hizo tweets, na kati ya hao wangapi wene twitter a/c (mie si mmojawao). tone ndani ya bahari?? huu ndio uanasiasa uchwara, kutumia madhila ya watu flani ili kujifungia score za kisiasa.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Yote uliyosema sawa isipokuwa kwenye red, mbona kwenye issue za kupalilia magamba TBC hutumia resources nyingi sana, ilishindwa vipi kumlipia mwandishi mwenye camera nauli ya flight hadi zbar kutujuza on the spot assesment. Nakumbuka MV Victoria ilipozama BBC walikodi charte flight kwa correspondent wao wa Nairobi kuja Mwanza na ndiye aliyepiga ile picha inayoonyesha "tip of the ship when descending" BBC waliiuza hiyo picha ulimwengu mzima. Haya mamabo yanahitaji creatiuvity tu kama wanavykuwa creative kuwaponda wapinzani na kuipalilia magamba.
In theory usemayo ni sawa, lakini lazma utambue sisi ni nchi maskini. Wananchi wengi hawalipi kodi na mapato ya serikali ni kiduchu, sasa huezi kutegemea TBC1 itume chopper, huku ndio kuwa out of touch kwenewe.
 
Unajua sisi wananchi tukiamua tunaweza onyesha nguvu yetu....mfano ni waluguru pale moro walivyoweza kumuonyesha tajiri mmoja wa mabasi kwamba hawababaiki na uzuri wa gari bali wanahitaji kuthaminiwa na mpaka leo jamaa jeuri yote kwisha....na hata tukiamua hawa voda tunaweza washikisha adabu..
 
Yote uliyosema sawa isipokuwa kwenye red, mbona kwenye issue za kupalilia magamba TBC hutumia resources nyingi sana, ilishindwa vipi kumlipia mwandishi mwenye camera nauli ya flight hadi zbar kutujuza on the spot assesment. Nakumbuka MV Victoria ilipozama BBC walikodi charte flight kwa correspondent wao wa Nairobi kuja Mwanza na ndiye aliyepiga ile picha inayoonyesha "tip of the ship when descending" BBC waliiuza hiyo picha ulimwengu mzima. Haya mamabo yanahitaji creatiuvity tu kama wanavykuwa creative kuwaponda wapinzani na kuipalilia magamba.
Mkuu hiyo ilitokea lini?
 
Nani kasema TBC ni Television ya Taifa. Kile ni chombo cha habari kama vingine. Kazi hiyo alikuwa anaiweza TIDO tu, waliowekwa sasa hivi wapenda Taarabu, kwanza mie huwa nashangaa.

Kuanzia Jumatatu - Hadi Ijumaa watu huwa Kazini, basi sisi hutegemea kupata habari muhimu au kipindi chenye kufunza mafunzo mazuri na ya kujenga nchi lakini badala yake huambulia taarab!!!!!! Taarabu asubuhi kwenye nchi maskini kama hii. Hii nchi , hii nchi, hii nchi, basi tunaishi kwa kuwa tupo, tusingekuwepo tusingekuwepo.
 
[SUB][SUP]
avatar41784_2.gif
avatar41784_2.gif
avatar41784_2.gif


avatar41784_2.gif
[/SUP][/SUB]
This is really trueeee
 
TBC na VODACOM wanastahili adhabu. Pia ni wakati muafaka serikali kujifunza kuwa makini. Kuna mabo mengi yanatokea
 
Tuone kama kuna mtu atawajibishwa TBC kama ilivotokea baada ya uchaguzi maana hii habari chama kimesahau kuwa ni turufu kwao.

Japo tusiwalaumu ambao hawajajitokeza au kutilia umuhimu ktk hili nadhani ni culture amabyo wenyewe tunaijenga s ajabu kuona mtu hahudhurii msiba wa jirani sasa waswahili husema usipoziba ufa utajenga ukuta. Tunakumbatia tamaduni za kigeni mpaka tunapitiliza wenzetu tunaowaiga katika maswala kama haya tunakuwa kitu kimoja sisi ndo tunakwenda tofauti.

Lakini pia wanasiasa always siwaamini sitaki kutumika hapa kumbeba mtu maana hapa tayari wanasiasa washapata nauli. Ni mara ngapi TBC wamefanya kazi zao ktk matukio? iweje hili tu ndo washambuliwe?

Watch out, TAFAKARI, CHUKUA HATUA
 
Tuone kama kuna mtu atawajibishwa TBC kama ilivotokea baada ya uchaguzi maana hii habari chama kimesahau kuwa ni turufu kwao.

Japo tusiwalaumu ambao hawajajitokeza au kutilia umuhimu ktk hili nadhani ni culture amabyo wenyewe tunaijenga s ajabu kuona mtu hahudhurii msiba wa jirani sasa waswahili husema usipoziba ufa utajenga ukuta. Tunakumbatia tamaduni za kigeni mpaka tunapitiliza wenzetu tunaowaiga katika maswala kama haya tunakuwa kitu kimoja sisi ndo tunakwenda tofauti.

Lakini pia wanasiasa always siwaamini sitaki kutumika hapa kumbeba mtu maana hapa tayari wanasiasa washapata nauli. Ni mara ngapi TBC wamefanya kazi zao ktk matukio? iweje hili tu ndo washambuliwe?

Watch out, TAFAKARI, CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom