Ajali ya Meli: "Taifa Msibani, Umoja wetu na Utu wetu shakani!" - Zitto Kabwe

VHOUSE4.JPG


7818.jpg


166475_138713066189316_100001518700636_233851_7906334_n.jpg



waliosoma TWITTER FEEDS za MWAMVITA hawakuamini maneno anayoandika juu ya hii lawama

 
Kwa tafsiri rahisi ni kuwa karibia kila siku meli kama hiyo inazama na watoto wetu wenye umri chini ya miaks 5 na mama wajawazito kwa sababu ya huduma duni za afya na umasikini unaosababishwa na rushwa na ufisadi uliovuka mipaka. Inatia uchungu sana, Watoto wenye umri chini ya miaka 5 zaidi ya 50,000 wanakufa kila mwaka, wamama wajawazito maelfu nao wanakufa kwa vifo vinavyozuilika lakini mbona hamzungumzi?

Watu wanajitafutia umaarufu kwenye matatizo ambayo siyo mapya na yameshakuwa kama sehemu ya maisha yetu. Takwimu zanaonyesha vifo vya watoto chini ya miaka 5 ni 81 kwa kila watoto 1,000 wanaozaliwa, wamama wajawazito vifo ni 500 kwa kila 100,000. Hili sio janga?
 
Kwa tafsiri rahisi ni kuwa karibia kila siku meli kama hiyo inazama na watoto wetu wenye umri chini ya miaks 5 na mama wajawazito kwa sababu ya huduma duni za afya na umasikini unaosababishwa na rushwa na ufisadi uliovuka mipaka. Inatia uchungu sana, Watoto wenye umri chini ya miaka 5 zaidi ya 50,000 wanakufa kila mwaka, wamama wajawazito maelfu nao wanakufa kwa vifo vinavyozuilika lakini mbona hamzungumzi?

Watu wanajitafutia umaarufu kwenye matatizo ambayo siyo mapya na yameshakuwa kama sehemu ya maisha yetu. Takwimu zanaonyesha vifo vya watoto chini ya miaka 5 ni 81 kwa kila watoto 1,000 wanaozaliwa, wamama wajawazito vifo ni 500 kwa kila 100,000. Hili sio janga?
 
yani Zitto kama umenisemea niliyokuwa nayawaza kuhusu hao voda. kule wanakopakilia abiria na mizigo kumeruhusiwa na nani kuwa bandari?
 
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un. Tuko msibani, and we are already starting the blame game na kumtafuta mchawi. Maybe somebody should alert Zitto kwamba there is fatigue in politics as well. Sasa, folks are blaming Vodacom as if they are the main regulators hapo Bandarini. Sasa Zitto is calling on people kujiuzulu now, while hali bado ni tete. Huu ni unafiki, some of us tulikuwa tunapiga gambe jana watching Aseno wakishinda kwa mbinde pia tujisikieje? Yaani kama kumetokea ajali Zenji, everything else has to stop?

On that note, 3 days are too damn much. We don't mourn the lost ones by just staying at home.

On Vodacom and whoever chose to have fun yesterday, it was a teaching moment--but not as tragic as folks are trying to make it. As C.J Mung'ong'o once put it "matumizi kibaya ya kitu chema hayafanyi kitu hicho kuwa kibaya pia".
 
Mie pia napata simanzi kwa tukio hilo na jinsi taasisi za serikali za zisizo za kiserikali zilivyoitikia. Lakini sitaki kuingia ugomvi na mtu mmoja au taasisi moja. Ni kweli msiba huo ni mkubwa kwa taifa letu lakini ni msiba tulioutaka wenyewe. Tunamlilia nani kuanza kutafuta namna ya mwitikio ulivyokuwa hasi kwa baadhi ya watu au taasisi ni kupoteza dira ya vita ambayo msiba huu unatakiwa uzalishe.

Ilikuwaje Meli ya ya abiria 500 kubeba watu 800, inakuwaje meli ya mizigo inabeba watu? serikali ilikuwa wapi? Kwamba wameshiriki au hawakushiriki kuomboleza it is immaterial Mh Zito. Nakuomba ulichukulie hili katika uzito wake kama mbunge na utuunganishe watanzania tung'oe mizizi na si vinginvyo. Nani ametufikisha hapa mpaka kupata huu msiba mkubwa ndio suala muhimu. Hivi utamu wa hela ndio unaanza kutugharimu hivyo? AU huyu mfanyabiashara ametuchangia kwenye kampeni zetu?

Tanzania tunauza utu wetu, tunaua watanzania wenzetu kwa sababu hatutaki bepari apate hasara, kwa sababu anatusaidia kushinda katika siasa? Ebu anagalia mfano imekuwaje Rostamu leo ni lulu CCM hata siku 60 hazijapita tangu aondolewe kwa sababu ya uovu wake

Tusiwaonee TBC wala VODACOM ndivyo tulivyo walea haiwezekani Rais mwenye mamlaka kamili anatangaza maombolezo siku tatu watu wakapuuza huu ni udhifu wetu wanatujua udhaifu wetu walituchangia na sasa wanarejesha gharama ama umesahau, TBC hawawezi kumsikiliza Rais kwa sababu walimsaidia kushinda au nini? wanakipendelea chama chake hata katika mambo ya kawaida

Mimi nimechoka, tena nimechoka sana, lakini Mheshimiwa Zito ulitaka kunichosha zaidi. Serikali yetu dhaifu, legeleghe ndio maana wafanyibiashara hawakidhi vigezo vya ubora kuanzia vyombo vya baharini, mabasi, nk Rushwa mtindo mmoja na sasa gharama yake ni maisha ya watanzania wasio na hatia kama vile ajali ya jana. Nakuomba Mheshimiwa Zito tushughulikie hili kwanza tuachane kwanza na hawa ambao walituficha habari au kutokuwa nasi katika maombolezo. Mheshimiwa Zitto ni rushwa, ni ulegelege, ni udhaifu wa kidola unatufikisha hapa na hii ni tangu enzi za Mkapa ajali si kusudio la Mungu nyingi ni uzembe wetu.

Nasikitika sana, pole wafiwa, pole mliopatwa na majeraha na pole wote mlioguswa na tukio hili kwa njia moja au nyingine ni wakati huu ambapo tuna muhitaji Mungu kuingilia kati na kutupa faraja kwa kutusahaulishwa na yaliyotukuta. Nafunga na kusali ili Mungu awatangulie katika shida hii Amen
 
Hivi unaposoma kutoka katika vyombo vya habari vya nje,watoto wadogo mfano wa miaka 6 akisimulia alivyookoka na kumuokoa mdogo wake wa miezi 18 unapata picha gani? Hawa watoto wadogo wanahusika vipi na matatizo yaliopo kati yetu na Znz? Wametukosea nini watoto wadogo kama hawa? Binafsi nlikua sijui kama kuna baadhi ya watanganyika wenzangu tuna roho mbaya kiasi hiki. Kumbe ndiyo maana ajali zinapotokea,badala ya kusaidia majeruhi,tunakimbilia kupora mali.
 
Office za Vodacom zote zenjii tutazitia moto au waje kuondoa office zao,na hao ma miss tunawajua wakikanyaga zanzibar tuta wapoteza wote.

Mashirika yote ya serikali na yasio kiserikali walitakiwa kusimamisha kazi zao zote,kwa vile nchi iekubwa na janga hili la msiba mkubwa,pia rais alitangaza kuwa tuko msibani,na mashirika hayo kupuuza kauli hizo.

Serikali tunataka wamiliki wa mashirika haya wapokonywe vibali,na kutakiwa kuomba upya huku wakiwaomba msamaha watanzania na wazanzibari.
 
hivi kwanini hata rais wa zenji alitangaza kwamba maombelezo ni kuanzia tarehe 11 na siku ya ajali tarehe 10, kuna mahusiano yoyote na kupisha kampeni ya ccm igunga na hayo ya mrembo wa tz, najiuliza maswali mengi mno, serikali inapaswa iangalie upya swala la nauli kwa vyombo vyetu vya majini, inakuwaje huwa zinatofautiana sana, nina hakika watu walijazana sana kwenye hicho chombo kutokana na nauli yake kuwa nafuu kuliko vyombo vingine.
 
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un. Tuko msibani, and we are already starting the blame game na kumtafuta mchawi. Maybe somebody should alert Zitto kwamba there is fatigue in politics as well. Sasa, folks are blaming Vodacom as if they are the main regulators hapo Bandarini. Sasa Zitto is calling on people kujiuzulu now, while hali bado ni tete. Huu ni unafiki, some of us tulikuwa tunapiga gambe jana watching Aseno wakishinda kwa mbinde pia tujisikieje? Yaani kama kumetokea ajali Zenji, everything else has to stop?

On that note, 3 days are too damn much. We don't mourn the lost ones by just staying at home.

On Vodacom and whoever chose to have fun yesterday, it was a teaching moment--but not as tragic as folks are trying to make it. As C.J Mung'ong'o once put it "matumizi kibaya ya kitu chema hayafanyi kitu hicho kuwa kibaya pia".

hold on; kwani wamesema maombolezo ni kutokwenda kazini? I hope somebody gonna tell these people kazi kama kawaida maana ya maombolezo siyo kwenda kazini; sasa ikitokea ajali nyingine tumatano na kuua watu 500 wataongeza siku nyingine tatu za maombolezo ya kutokwenda kazini?

I hope kuna mtu katafsiri vibaya.
 
Office za Vodacom zote zenjii tutazitia moto au waje kuondoa office zao,na hao ma miss tunawajua wakikanyaga zanzibar tuta wapoteza wote.

Mashirika yote ya serikali na yasio kiserikali walitakiwa kusimamisha kazi zao zote,kwa vile nchi iekubwa na janga hili la msiba mkubwa,pia rais alitangaza kuwa tuko msibani,na mashirika hayo kupuuza kauli hizo.

Serikali tunataka wamiliki wa mashirika haya wapokonywe vibali,na kutakiwa kuomba upya huku wakiwaomba msamaha watanzania na wazanzibari.
kazi mnayoiweza! Hata wakati huu wa majonzi unawaza kutia moto! how old are you?
 
..MUNGU awalaze pema peponi marehemu wote.

..MUNGU awape nguvu, na subira, ndugu, jamaa, na marafiki wote waliopotelewa na ndugu zao.

..Mh.Jussa, msiba huu ni wetu wote, wa-Tanzania. maneno maneno ya "tv yenu", au "Tanganyika yenu" yana muda na mahala pake.

..TBC na Vodacom hawahusiki na usalama wa vyombo vya usafiri wa majini, au uokoaji. tunaelekeza lawama zetu pasipohusika.
 
UJAMAA NA UPEBARI ni vitu viwili tofauti, siasa za ujamaa zainajali UTU.....tumeingia wenyewe kwenye ubepari ambapo faida ina nafasi kubwa kuliko utu twalaumu....VODACOM...si wa kulaumiwa pekee,wadhamini wengine walikuwepo kama ...

NAO WANA NAFASI, WASHIRIKI NYIE MWAITA WALIMBWENDE.....WAPO WALIOTOA GARI LA MILIONI 80.....WHY VODA PEKEE?

TBC.... kama chombo cha habari lazima kikusanye taarifa iliyokamilika na kuirusha hewani,hawawezi kurusha TETESI NA UVUMI....when we judge them we have to be fair enough
usiwatetee tbc1 chombo kile tangua aondoke Tido kimechoka! hata kama wao hawakuwa na waandishi wa habari kwa wakatu ule, wangejiunga na ZBC(liyokuwa ikijulikana kama TVZ) Kwani ZBC walikuwa live kwenye site muda wote, kuliko kuendelea kupiga mipasho wakati watz wenzetu wanateketea, au kwa sababu wale ni wazanzibari? muungano uko wapi?

hawa star tv na vodacom ndio hovyo kabisa, yaani watu wanakufa wao wanaonyesha vichupi! haipendezi hata kidogo, hakuna hasara iliyopatikana kama kupoteza watu 240! wao wanazungumzia hasara gani ianyozidi hiyo?
 
MSIBA WA KITAIFA PEMBA WATUUMBUA KILA KONA NCHINI NA UNAFIKI WETU

Taifa letu ni aibu baada ya aibu usiseme!!!

Mawazo yote ni kwenye pesa zaidi: kero zote zilianza na Mhe Mkapa na CCM wao kuonyesha ubize wa kumtafutia Fisadi KAFUMU ukubwa na fedha zaidi kule Igunga.

Nao wawekezaji wasiothamini kitu utamaduni wa Mtanzania, mila na desturi, VODACOM, nao wao wakaonelea kuwa ni vema na tena inawapasha wakawekeza zaidi kwenye kuonyesha mapaja nje kwa HAWA MAFEDHULI dada zetu bila hata kama kuna msiba mkubwa kiasi kitaifa.

TBC nayo kazi ni kuonyesha tu mirindimo miziki ya Pwani mfululizo bila hata kugutuka kwamba wamiliki wake walipa kodi wamefikwa na janga zito hivyo huhitaji taarifa za haraka na sahihi.

Kama haitoshi, serikali ya muungano yaonekana kuiachia mzigo mzima mzima serikali yetu ya mapinduzi Zanzibar ndio inahangaika kutafuta waokoaji kote duniani.

NB: Wananchi HATUNA FURAHA kwa mambo haya.
 
najiuliza, kwanini tuwalaumu waandaaji na wadhamini na kutojiangalia sisi watazamaji?
hivi watanzania wenye uchungu na kuomboleza walikuwa wanafanya nini huko kwenye maonyesho
ya urembo? naamini hao vodacom na lino wangekula hasara vile vile kama watu wasingehudhuria
hiyo show.
hebu tujitoe kibanzi kwenye mboni zetu pia.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania na Zanzibar .... amefanya kambo jema kuahirisha safari Ya Canada!!!
 
Back
Top Bottom