Ajali ya Meli: SMZ yakataa misaada ya VODACOM

rostam kawashika pabaya wana JF

Leo CHADEMA wa JAMII FORUMS mnamtetea ROSTAM na kampuni yake ya VODACOM!!!!!


Kweli nimewavulia kofia
 
Kwa hiyo ili kuonyesha tunaungana na waznztulitakiwa kuacha kufanya kazi? Aaaaaaghr! Tusitumia "masaburi" kufikiri jamani. Kifo ni kifo hata akiwa mtu mmoja! Kwa hiyo kila ajali ikitokea tuache kufanya kazi ili kuonyesha tunaomboleza?
Pamoja na dharura lakini mombo mengine yanpaswa kuendelea kama kawaida jamani! Kuna msemo mmoja ambao watu hatupendi kuusikia "wacha wafu wawazike wafu wenzao" Waokoaji wanahitaji vifaa, na vifaa vinahitaji fedha! Sasa fedha inatoka wapi kama woooote tungeenda kuomboleza?

Hapana aliyesema kwamba watu wote wasifanye kazi, hiyo yako ni kuongeza chumvi. Ila ile 'miss miss' na magoma yake vingeweza kuwekwa pembeni.
 
Nyinyi viongozi acheni kupiga chenga, jibuni mawswali ya wananchi. Haya maswali yako yanahusika vipi na vodacom kama una akili ya kufikiri. Maswali yako yapeleke wizara inayohusika. Vodacom umeshaambiwa walikuwa wadhami tu.

That's my point. Money talks! Kinafanya watu waibane Vodacom ni nguvu ya kipekee waliyonayo kwenye haya mashindano ya ma-miss. Na wangesema wasogeze lingetokea hivyo. Hata hivyo nimesema kufanya kosa sio kosa bali kurudia, kwa nini masaa 24 baada ya blunder wasitoa official statement ya kuomba msamaha.

Watu wanaweza kubeza hizi kelele hapa jamvini lakini nakuhakikishia huko mbele kama litatokea janga kama hili (mungu aepushe mbali) utaona makampuni yatakavyoufyata. CCM wameshikishwa adabu (walau kiasi) na nguvu ya umma, sasa nguvu hiyo hiyo ya umaa inawashikisha adaby makampuni yanayojidai kuwa na kiburi kama cha ccm.

Mwisho, If I had my way mkuu wa TBC angetakiwa aende likizo ya moja kwa moja bila malipo.
 
Leo CHADEMA wa JAMII FORUMS mnamtetea ROSTAM na kampuni yake ya VODACOM!!!!!Kweli nimewavulia kofia
please ondoa siasa hapaina maana kuwa mtanzania mwenye huruma lazima uwe CHADEMA au CCM? Kama kuna mtu anatetea VODA kwa sababu ya masilahi sorry lakini hii wamechemshana VOdafone wakipata taarifa kuna kazi
 
please ondoa siasa hapaina maana kuwa mtanzania mwenye huruma lazima uwe CHADEMA au CCM? Kama kuna mtu anatetea VODA kwa sababu ya masilahi sorry lakini hii wamechemshana VOdafone wakipata taarifa kuna kazi


VODA ni kampuni ya kifisadi na inaongozwa na Fisadi sasa shida yenu ni nini leo kuwatetea hawa afisadi?
 
upumbavu katika rangi zake, kwani VODACOM ndio iliyoendesha ile meli hadi ikazama, kwani vodacom ndio waliruhusu meli ya mizigo ijaze abiria, kwani Vodacom ndio walipaswa kugawa lifejackets baada ya meli kutoboka, ujinga mwinge kwani VODACOM NDIO WALIOVUJISHA MAJI YAINGIE MELINI...HATUFIKIRI KWA KINA ...Tunawaza kipuuzi.

Mimi naona unaewaza kipuuzi ni wewe hapo. Hebu jaribu kutafakari tena kwa kina wewe mwenyewe.

Unajaribu kujenga hoja za kitoto kabisa!

Na hata hiyo TBC pia imesemwa sana kwa kujiita television ya taifa na wakashindwa hata kutoa breaking news. Na tunavipongeza vituo vya redio na television binafsi vilivyojitahidi sana kutoa taarifa kila baada ya muda na kuonyesha ubinaadamu kwa wenzetu waliopoteza wapendwa wao.

 
Kwakweli Miss Tanzania ingependeza kuahirishwa, walikosea....lakini naona sasa inakua opportunity ya Zantel kujitanua; opportunity ya wachache kukuza movements zao nk.Si mbaya kukataa misaada ya VODACOM lakini haya ya kwenda kwa wadhamini nk. sio kwamba yanavuka mipaka? ni swali tu msinipige mawe
 
Mi sioni mantiki ya kuwahukumu vodacom, ajali imetokea wala si bahati mbaya ila imetolkea ;makusudi coz ya uzembe wa watu wanaojali pesa zaidi kuliko maisha ya watu.

Hata kama msibna ni wataifa lakini bado unabaki kwenye familia husika zaidi huwezi sema mi nishindwe fanya kazi niloiyeko Iringa coz ya msiba ulioko znz na kazi hii ndo inayosaidia mi niishi. Wakiwasusia voda si sjhanghai kwani waznz wengi wao wanatumia zantel, na sisi huku tukifuata tutakuwa wazembe coz wtanganyoika na waznz kutofautiana ni kawaida tu.
ninavyoona mimi hapa tatizo sio kuendelea kwa shindano la umiss wakati msiba umetokea, ila ni kitendo cha star tv kuonyesha lile tukio live! kwa sababu kama ni starehe mbona nyingi ziliendelea wakati ule? TBC1 walikuwa wanapiga mipasho, kumbi zote za starehe zilikuwa zinaendelea kama kawaida, ligi kuu vodacom iliendelea kama kawaida, ufunguzi wa kampeni igunga uliendelea kama kawaida, redio zote ziliendelea kutwanga miziki! kwa hiyo kama tukio la umiss tz lisengeonyeshwa live na star watu wengi wasingejua kinachoendelea hivyo pasingekuwa na manung'uniko.
 
Sasa mbona sijasikia mkijiandaa kuchoma moto ofisi ya chombo chenu kinachohusika na usafiri wa majini? au ofisi za wizara inayohusika na usafiri wa majini? Kwa nini watu wa aina yenu huwa hamtaki kujinyooshea kidole wenyewe hata kama wenye makosa makubwa ni nyinyi wenyewe? kwani vodacom ndiyo wamesabisha vifo hivyo? aaaaah ZANZIBARIS ARE NARROW MINDED @$$H#^%$.

Kwani tatizo nini? si wamekataliwa misaada tu,sasa si warudi na pesa zao tu? au kutoa msaada ni lazima?
 
ROSTAM kiboko na namvulia kofia

99 % hapa mlikuwa mnasema jamaa fisadi leo mko stari wa mbele kuitetea kampuni ya mafisadi!

kweli ROSTAM kawashika pabaya nyie
 
Siku zote Wanzanzibari (serikali) hawajawahi kuunga mkono mashindano ya umiss. Partly for religious factors. Tukio la juzi ni coincidence tu kwa wao kuhalalisha walichokitaka siku zote. Mi nashangaa, badala ya kuzungumza kuwajibisha viongozi wazembe ambao kwa namna moja au nyingine wamepelekea kutokea kwa ajari hiyo public opinion inaelekezwa kwenye vodacam.

Pili ikumbukwe kuwa vodacom ni mshindani wa Zantel, kampuni ya Wazanzibar. Hii pia ni vita ya kibiashara. SINA HISA VODACOM , SINA NDUGU VODACOM WALA SINUFAIKI NAO KWA LOLOTE. WATANZANIA TUBADILIKE
 
Nina wasiwasi na chanzo cha hbri hii kama ni kweli.
Kama kususia basi si Voda tu, tv zilizoonyesha, waliojaza ukumbi, waandaaji na hata wewe uliyeangalia umeshiriki kufanikisha hii kitu.
Sasa msikurupuke kuiponda voda wakati mlikodolea macho mwanzo mwisho.
 
Siku zote Wanzanzibari (serikali) hawajawahi kuunga mkono mashindano ya umiss. Partly for religious factors. Tukio la juzi ni coincidence tu kwa wao kuhalalisha walichokitaka siku zote. Mi nashangaa, badala ya kuzungumza kuwajibisha viongozi wazembe ambao kwa namna moja au nyingine wamepelekea kutokea kwa ajari hiyo public opinion inaelekezwa kwenye vodacam.

Pili ikumbukwe kuwa vodacom ni mshindani wa Zantel, kampuni ya Wazanzibar. Hii pia ni vita ya kibiashara. SINA HISA VODACOM , SINA NDUGU VODACOM WALA SINUFAIKI NAO KWA LOLOTE. WATANZANIA TUBADILIKE

Leo CHADEMA wa JAMII FORUMS mnamtetea ROSTAM na kampuni yake ya VODACOM!!!!!

VODACOM mlikuwa mnalalamika ni kampuni ya FISADI ORIJINO leo imekuwaje?

Kweli FISADI rOSTAM kawashika pabaya
 
Kitu pekee Wazanzibari wanazuiwa kufanya ni kulaumu serikali yao. Wanaaminishwa kuwa tatizo n vodacom na hivyo hasira zao zinaelekezwa huko. Sijui bank atawasaidia.
 
Nina wasiwasi na chanzo cha hbri hii kama ni kweli.
Kama kususia basi si Voda tu, tv zilizoonyesha, waliojaza ukumbi, waandaaji na hata wewe uliyeangalia umeshiriki kufanikisha hii kitu.
Sasa msikurupuke kuiponda voda wakati mlikodolea macho mwanzo mwisho.



Leo CHADEMA wa JAMII FORUMS mnamtetea ROSTAM na kampuni yake ya VODACOM!!!!!

VODACOM mlikuwa mnalalamika ni kampuni ya FISADI ORIJINO leo imekuwaje?

Kweli FISADI rOSTAM kawashika pabaya
 
Serikali ya Zanzibar haina mamlaka ya udhibiti kuhusu mambo ya Mawasiliano ya simu. Leseni ya kuendesha kusambaza mawasiliano hutolewa na TCRA iliyo chini ya Wizara husika kule Tanzania Bara.

Hivyo mwenye mamlaka ya kuwajibisha Vodacom au Kampuni yoyote ya mawasiliano ndani ya Jamhuri ya Tanzania ni TCRA na wala si vinginevyo.

Hapa ndipo hoja ya Tundu Lissu kuhusu muungano inapopata nguvu yake. Nitajadili hilo kulingana na michango ilioyoenda shule itakavyomiminika humu.

Na ZANTEL ilisajiliwa wapi baada ya kukataliwa na TCRA? kuaeni na uhakika kabla ya kutoa hoja.
 
upumbavu katika rangi zake, kwani VODACOM ndio iliyoendesha ile meli hadi ikazama, kwani vodacom ndio waliruhusu meli ya mizigo ijaze abiria, kwani Vodacom ndio walipaswa kugawa lifejackets baada ya meli kutoboka, ujinga mwinge kwani VODACOM NDIO WALIOVUJISHA MAJI YAINGIE MELINI...HATUFIKIRI KWA KINA ...Tunawaza kipuuzi.

Mbona hawaituni TBC iliyopiga densi mchana kutwa, badala ya kuhabarisha WaTZ, mbona hatusikii wale wakaguzi wa meli kule pemba wamechulkuliwa hatua gani?

kwa serikali kujiingiza katika mgogoro huo ni kutowatendea haki Wawekezaji hao na ni uonezi usiokubalika, by the way aja;li imetokea Huko Znz kwa muda ule hakuna alijua kwa hakika ni janga kubwa kiasi katika siku ambayo Miss Tz ilifanyika

Mkuu naona una hasira tulia kidogo.
 
voda ni kampuni ya kifisadi na inaongozwa na fisadi sasa shida yenu ni nini leo kuwatetea hawa afisadi?

mimi sitetei mafisadi wala sijawahi kuungana nao, swala kwamba vodacom ni kampuni ya mafisadi ni kweli, lakini hoja inayojadiliwa sio kuikatakaa vodacom kwa mahusiano yake na mafisadi. Tunakataa hoja zisizo na kichwa wala miguu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom