Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,387
- 33,045
Alipokufa Nyerere, redio stations zote na kumbi za starehe zilifungwa kwa mwezi mzima, leo wapendwa wetu Unguja na Pemba wameangamia baharini, starehe zimeshika mkondo kama kawa.
Huku Miss Tanzania, huku Yanga ina draw, huku rhumba kama kawa.
Jamani serikali yetu mbona haithamini watu wake? Kama ilivyofanya alipokufa Nyerere tunaomba ifanye na sasa
Kwani Zanzibar ni nchi ama Wilaya ama Mkoa?