- Mkuu I beg to differ mkuu, Mwakyembe ni PhD wa sheria, sasa inapokuja masuala ya sheria yes anayo authority tena kubwa sana ya kumuuliza form four leaver yaani mkuu wa Traffic wa mkoa kama kweli ana uwezo mkubwa kuelewa sheria kuliko yeye, hii ni fact sio matusi wala kejeli,
- Na uliyoyasema kuhusu Komando, kwa kweli hayana uhusiano wowote na utendaji wake wa kazi kwa taifa, huyu amekua ni baadhi ya wananchi wachache sana wachapakazi kwa taifa letu, wasiokuwa wezi na waaminifu.
Respect.
FMEs!
Mkuu
Nami naomba kutofautiana na wewe kidogo,jamaa hawa wameenda mafunzo kwa ajili ya kazi hiyo, naimani kubwa japo sio kwa 100% hakuna chuo kikuu ambacho Mwakyembe amesoma ama ana Phd ya usalama Barabani wenda hata certifate hana kwanamna nyingine ni BIG ZERO kwa mambo ya sheria barabani.
Sasa yeye kuhoji usomi kwa polisi ni kwa reference ya elimu ipi? kama sio zarau.