Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Kumetokea ajali saa 11:30 ya basi la Dar express picha ya ndege Kibaha linaloingia Dar jioni hii na Semi ya mafuta na imetokea upande wa kulia nje ya barabara namaanusha basi lilitoka nje ya sight yake
Pole majeruhi na tuombeane salama na mie pia nipo barabarani
Wenye Updates mtujuze
Basi MUNGU ashukuriwe km hakukutokea majeruhi mpaka sasa na washukuriwe waliofuhabarisha kuwa chanzo ni pikipiki (Bodaboda) iliyokatiza
Pole majeruhi na tuombeane salama na mie pia nipo barabarani
Wenye Updates mtujuze
Basi MUNGU ashukuriwe km hakukutokea majeruhi mpaka sasa na washukuriwe waliofuhabarisha kuwa chanzo ni pikipiki (Bodaboda) iliyokatiza