SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,973
- 75,054
Ukitaka kula nguruwe chagua aliyenona,tabu gani kujigeuza fisi kula mifupa?Kwenye hii siledi nimegundua watu wanapenda sana mizigo aina ya chibonge
Ukitaka kula nguruwe chagua aliyenona,tabu gani kujigeuza fisi kula mifupa?Kwenye hii siledi nimegundua watu wanapenda sana mizigo aina ya chibonge
Kwahyo wajanja wameshawahi?!! HahahaaaWe huoni chupi imechanika ile, tayari!
Ulimwengu wa giza una mambo mengi..hiv hawana trafik wao?
Huwa wana parachute kama rubani wengineNaomba kuuliza hivi inakuaje mchawi anaanguka na ungo, pia kama anaanguka nao kutoka juu mbona hua hawafi wala kuvunja hata miguu?
msukosuko alioupata hata hivyo si haba, naona NANDY yake imechanika chanikaNaomba kuuliza hivi inakuaje mchawi anaanguka na ungo, pia kama anaanguka nao kutoka juu mbona hua hawafi wala kuvunja hata miguu?
Hali ya hewa ilibadilika ghafla akakata mawasiliano na chumba cha kuongoza kifaaMshana Jr ilikuaje hii?
RTORTO au DTO wao au?
Mkuu Mshana hebu fafanua kidogo, nini huwa kinatokea hadi iwe hivo? Kuna siku ilitokea alikutwa juu ya nyumba Mbeya. Inakuwaje mambo haya?Ajali angani
Yaani wahuni mkimwachia manii yenu huyu mmekwisha.Unauliza jibu? Watu walishafanya finishing fasta kabla umati kufika. Nundu lote lile watu wataachaje kwa mfano?