Haswaaaa dah.akawakuta wako fiti kalikiti
Tako lote hilo wameshindwa hata kumtafuna?!!
Ok ukiwa angani yale mawingu unayonaona juu ukiwa ardhini kule juu unayaona kwa chini tena milima kwa mabonde
Hahahahahha zimefanyaje hearly?Hahah ogopa sana technology ya Africa
Huo ungo unaweza beba hata tembo etiAseeee! Sasa alivyo chibonge anapaaje na ungo.
hazard cfc uje umuone Chi chibonge wako.
Amekutana na bums akiwa kwenye mwendo kasi ajabu,Daaahhhh, safari imebuma...
Amekutana na kizingiti mbabe mwenzake kamtia mtegoniAjali angani
Mleteni nibaki naye chumbani wawili tu nimuombee aache ulozi.