Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Mimi ni malkia wa Giza.
Ni kiranja wao![]()
Hahaha Dah hauogopi ""!!! Unaweza kunasa ujueMtoto mzuri huyo mnashindwaje kumla hapohapo?
Hahah ogopa sana technology ya AfricaAseeee! Sasa alivyo chibonge anapaaje na ungo.
hazard cfc uje umuone Chi chibonge wako.
Mashine hainasagi nina bonge la rungu mpaka mademu hapakitaa wananinta MGAMBOHahaha Dah hauogopi ""!!! Unaweza kunasa ujue
Mmmmmh haya sio yale maigizo yetu ya kila siku?Ajali angani
Uskumani huku ulikuwa unalazwa nafisi kama umeoa jet yanamna hiyo usiku ikichomoka inakuachia fisiMfano nikihamua kupiga hvyo hvyo...ujoto ujoto unakuwepo mzee mwenzangu?
Hapana kwakweli nisiwe muongo sijawahiUlishawahi kupanda ndege?
HaaaahaaaUskumani huku ulikuwa unalazwa nafisi kama umeoa jet yanamna hiyo usiku ikichomoka inakuachia fisi