Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,029
- 8,637
Mpaka dunia itakapo fika kikomo...Haya magari ya mizigo yataendelea kuua watu mpaka lini?
Mpaka dunia itakapo fika kikomo...Haya magari ya mizigo yataendelea kuua watu mpaka lini?
Madereva wengi wa malori wanachoka sana, hapo usikute alisinzia.Haya magari ya mizigo yataendelea kuua watu mpaka lini?
Kampuni zenye kujitambua ikifika saa 3 usiku dereva unaambiwa uwe umepaki gari ili upate muda wa kupumzika.Madereva wengi wa malori wanachoka sana, hapo usikute alisinzia.
Kuna haja ya haya malori yawekewe limitation ya muda wa kusafiri usiku, ili madereva wapate muda wa kupumzika
Ni suala la wizara ya mawasiliano na uchukuzi kulifanya kisheria.Kampuni zenye kujitambua ikifika saa 3 usiku dereva unaambiwa uwe umepaki gari ili upate muda wa kupumzika.
Ila sasa matajiri wengine wa kibongo wanaangalia maslahi tu, we piga gia usiku na mchana mzigo ufike mapema yeye apate pesa yake..
Mkuu kwani umeshajua chanzo cha ajali? Vipi kama dereva wa coaster ndiyo mwenye makosa?Madereva wengi wa malori wanachoka sana, hapo usikute alisinzia.
Kuna haja ya haya malori yawekewe limitation ya muda wa kusafiri usiku, ili madereva wapate muda wa kupumzika
Watu kadhaa wamebanwa ndani ya gari ndogo aina ya costa baada ya gari kubwa la mizigo kuliangukia gari hilo
Ajali hiyo imetokea maeneo ya Nanenane Morogoro, Polisi wanaendelea kuokoa walioathiriwa na ajali hiyo.
Taarifa zaidi kukujia
Kutenganisha barabara ndio suluhuBarabara inatakiwa ipanuliwe kuanzia mzunguko wa msamvu hadi eneo la mkabarani (njia ya Dar -Moro) na uelekeo wa Moro -Dodoma ipanuliwe hadi eneo la kikundi.
Bila kupanuliwa barabara,changamoto ya ajali itaendelea kusumbua Morogoro, maana maeneo niliyobainisha ndio yenye ajali za mara kwa mara.