Mgeni wa Mungu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 1,233
- 1,287
Kabisa yani, Mungu anasikiliza huzun ya mnyonge.
Lakini wenye akili ndio wanaweza kujua hayo.
Kabisa yani, Mungu anasikiliza huzun ya mnyonge.
Wanauliwa na nani?Hata sisi ndugu zetu wanauliwa ila hao wanajesh sijui polis hawana hurum na sisi.
Kula sumu ufe!Siipendi hii mipolisi basi tu
Naona 92kj hapo nahis atakua mwenzao
Daaah sawa mzee wa Kizuka Ngerengere .we mano nasa daah we jamaa wewe daah
Umeangalia site ya hiyo ajali?Tatizo madereva wa noah wanapenda sana kuovertake haijalishi ni kwenye kona, mlima, yani kotekote...hawana uvumilivu wa kukaa nyuma ya gari jingine.
Uko sahihi sanaNoah ni gari za kuogopa! Zimemaliza maisha ya watu wengi. Siku naendesha Noah ya rafiki yangu ilikuwa kama naedesha maharusi. Spidi ilikuwa ni ya kobe. Naziogopa sana Noah!
inawezekana kwenye kuikwepa hyo noah ndo imesababisha ihame..na hyo gari kuna picha imeomekana nje ya barababa hienda baada ya kuivuta ndo ikaingia road hvyoUkiangalia hapo nadhani ni gari la polisi ndio lilienda upande wa Noah
Group la makomando ama? Mbona unatutisha mkuuYaa ni kweli..
Ngoja niingie kwenye group watsap nipate taarifa kamili
Ahaaa broo bhana. Mungu ametwaa waja wake R.I.PHapo mbona inaonyesha basi lilienda upande wa Noah au macho yangu,