Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,906
- 16,848
Hayo magari wana abuse sana speed zake, sbb barabara zetu sio salama kwa speed za hizo gari, unakuta dereva anatembea 210 - 230 km/hr mfano, na VX zingine zina hadi 260km/hr top speed, sasa barabara zetu tunajua, gari yoyote ukifika 150 km/hr and above hakikisha una exercise very high caution, na barabara uwe unaona mbali na iwe straight, nzuri na kuwe na clear visibility, anything can go wrong na ajali inaweza kukupata, haijalishi ww ni dereva mtaalam au una experience ya miaka mingapi.