mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,060
- 4,042
Watu saba wanasadikiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya lori lenye namba za usajili T 804 BMF kukosa breki na kugonga gari dogo la abiria katika eneo la Inyala nje kidogo ya jiji la Mbeya. Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya.