Nivea JF-Expert Member May 21, 2012 7,459 4,748 Sep 17, 2012 #3 yani gari likaumia bicle bado nzima haya magari ni sawa na makaratasi eeeeeeeeee
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Feb 18, 2010 4,066 4,085 Sep 17, 2012 #4 Magari ya kutengenezwa kwa toilet paper utayajua tu
RICARDO KAKA JF-Expert Member May 26, 2012 865 337 Sep 17, 2012 #5 huyo mwenye baiskeli amlipe mwenye gari!
mashini Member May 4, 2012 72 10 Sep 17, 2012 #6 Ndallo said: Ajali Mbaya Sana! View attachment 65216 Click to expand... how comes? be serious plz
K KENET JF-Expert Member Jul 5, 2012 258 83 Sep 17, 2012 #7 Mwenye gari amegonga inabidi amlipe mwenye baiskeli.Magari ya mchina hayo yanayouzwa kwenye third world country,mjue urahisi unavyoumiza.
Mwenye gari amegonga inabidi amlipe mwenye baiskeli.Magari ya mchina hayo yanayouzwa kwenye third world country,mjue urahisi unavyoumiza.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,938 93,853 Sep 17, 2012 #8 RICARDO KAKA said: huyo mwenye baiskeli amlipe mwenye gari! Click to expand... amlipe vipi wakati baiskeli ilikua inapiga rivasi?
RICARDO KAKA said: huyo mwenye baiskeli amlipe mwenye gari! Click to expand... amlipe vipi wakati baiskeli ilikua inapiga rivasi?
S Sangomwile JF-Expert Member Aug 17, 2012 3,195 1,021 Sep 17, 2012 #9 Ndallo said: Ajali Mbaya Sana! View attachment 65216 Click to expand... Nimesikia watu watano wamekufa eneo la tukio.
Ndallo said: Ajali Mbaya Sana! View attachment 65216 Click to expand... Nimesikia watu watano wamekufa eneo la tukio.
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Sep 17, 2012 #11 ajali hizi zitatumaliza jamani...daaah imatisha sana ..toa hii picha kwa kweli
Mangaline JF-Expert Member May 19, 2012 1,045 221 Sep 17, 2012 #12 Tatizo la wabongo, magari hayakutengenezwa kwa lengo la kugonga baiskeli!!!!!
Gosbertgoodluck JF-Expert Member Mar 3, 2008 2,855 401 Sep 17, 2012 #13 Sangomwile said: Nimesikia watu watano wamekufa eneo la tukio. Click to expand... Na wanyira..... wangapi?
Sangomwile said: Nimesikia watu watano wamekufa eneo la tukio. Click to expand... Na wanyira..... wangapi?
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 18, 2012 #14 baskeli chuma cha sikio sorry cha pua.