S2dak_Jr
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 198
- 45
Wanajamvi,
Muda si mrefu natokea kwenye tukio la ajali ya Hiace iliyopinduka eneo la barabara ya Misigiri-Kiomboi na kusababisha vifo vya watu watatu.
Baada ya muda wa nusu saa, Mh. Mwigulu alipita eneo la ajali akitokea Kiomboi akiwa na makada wa CCM. Alisimama eneo la tukio huku akirekodi tukio hilo kwa simu yake. Pia alifanya mahojiano na baadhi ya vijana huku akiwarekodi.
Nitawaletea picha za tukio kwani simu ninayotumia haina uwezo wa kufanya uploading.
Source: Nilikuwepo kwenye tukio.
Hiace hiyo hufanya safari kati ya Igunga, Singida na Kiomboi.
Muda si mrefu natokea kwenye tukio la ajali ya Hiace iliyopinduka eneo la barabara ya Misigiri-Kiomboi na kusababisha vifo vya watu watatu.
Baada ya muda wa nusu saa, Mh. Mwigulu alipita eneo la ajali akitokea Kiomboi akiwa na makada wa CCM. Alisimama eneo la tukio huku akirekodi tukio hilo kwa simu yake. Pia alifanya mahojiano na baadhi ya vijana huku akiwarekodi.
Nitawaletea picha za tukio kwani simu ninayotumia haina uwezo wa kufanya uploading.
Source: Nilikuwepo kwenye tukio.
Hiace hiyo hufanya safari kati ya Igunga, Singida na Kiomboi.