kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Weka habari kamili kama Baada ya kupiga picha, kuhoji wananchi, kumuita ndugu wa maiti iliyokuwepo na kumpa pesa je aliondoka? au alisaidiana na ndugu waliokuwepo na kubeba maiti ilyokuwepo na kuipeleka Motuary na kwenda kuangalia majerui wengine? ebu tuambie tunataka kujua hawa viongozi wetu wanathamini watu au wanajithamini wao tu na familia zao. tupe uhondoWakati anafika kulikuwa na mwili mmoja wa marehemu. Alimuita ndugu wa huyo marehemu na kuongea nae. Kisha aliingiza mkono mfukoni na kumpa huyo kijana pesa.