Ajali mbaya ya basi la Meridian

Ajali mbaya ya basi la Meridian

Hakuna aliyefariki kwa mujibu wa maofisa wa meridian,
 
Hakuna aliyefariki kwa mujibu wa maofisa ws meridian,
 
Meridian Bus Service inafanya safari yake wapi na wapi?

Funguka kidogo!

Marehemu wote mwenyenzi MUNGU awape pumziko la milele shambani mwake!
 
Mwenyenzi MUNGU mwingi wa Rehema Baba usitupite!
Marehemu wote MUNGU uwape pumziko la milele shambani mwako Baba wa mbinguni!
Majeruhi wote wape kupona mapema Mungu wetu!
 
...hii kweli ni ajali,dereva amekufaa? poleni sana majeruhi na mliofikwa na msiba...
 
Mabasi ya zamani yalikua ni bati tupu na nguzo ka 6 ivi ndani ya basi.
Siku izi ni vioo vitupu.
 
T.B.S waliwahi kulikagua basi Hilo?inaelekea bodi yake haikuwa imara Ndio Maana imeng'oka ! Kampuni za bodi za mabasi za kibongo zitizamwe kwa jicho ls Tatu
 
Pole wahusika Mungu awaponye name mliofiwa mpate faraja ya bwana Yesu
 
Basi za kutengenezwa nairobi ni hatari sana lwa wasafiri,,,south africa haziruhusiwi kuingia kwa sababu hazijafikia safety standard za kuruhusiwa kubeba wasafiri
 
Back
Top Bottom