Poleni sana wahusika wote,Madreva wanakwenda mwendo kasi sana,na huku waweza kuta anaongea na simu,Hasa magari yanaotoka maeneo ya Arusha na Moshi.poleni sana wa Tanzania wenzetu.Hakika sisi ni Wa Allah,na kwake tutarejea.Ameshindwa kumiliki kona na mteremko mkali ukiwa unatoka mbwewe kuelekea lugoba.
Kila kitu serikali hata mkeo akienda njee ndoa serikali
waswahili,wabantu na wataalamu wa lugha nisaidieni hapo,tafadhali ijapokuwa sii jukwaa lake.Ameshindwa kumiliki kona na mteremko mkali ukiwa unatoka mbwewe kuelekea lugoba.
Asee.....mkuu keep us posted!