Ajali mbaya ya basi la Meridian

Ajali mbaya ya basi la Meridian

Japo ajali haina mwenyewe ila kimsingi hawa jamaa uendeshaji wao ni hatari sana!wanakimbiza sana basi hili utadhani lina engine ya air force one!kama unajali maisha yako haya mabasi hayafai kupakia hata chembe.
 
Very sorry kwa wote. Kwa majeruhi Mungu awafanyie wepesi na kwa waliopoteza maisha, wapumzishwe kwa kadiri ya matendo yao, AMINA.
 
R.I.P wote waliofikwa na umauti, inatisha sana na inasikitisha, hii ajali inatumbusha ile wanamuziki wa taarabu
 
nawasiwasi na bodi ndo imechangia vifo. Lazima limewakata watu wkt linang'oka
 
Naomba serikali itoe tathmini ya leseni mpya maana tuliambiwa zitapunguza ajali, matokeo yake ajali ndiyo zinaongezeka kila kukicha
 
Ajali mbaya ya gari iitwayo meridean ikitokea Moshi kwenda Dar imepata ajari mbaya maeneo ya kimange kwa kukatika paa la ju. Idadi ya vifo na majeruh haijajulikana
 
daah poleni sana
umenikumbusha ile ajali ya air msae miaka ya tisini ilikatika hivi hivi.
watu walikufa wengi.....
kwa hili meridian nawapa pole watu wa marangu rombo tarakea na wakenya wanaokuja dar kupitia mpakani.
 
Jarib kuvinjali kwanza kwenye jamvi kabla ya kukurupuka na Uzj mpya. Kuna uzi umeingia hapa mda mrefu na una picha pia.
 
Duh!poleni mliofikwa.MUNGU mwenye rehema atuepushe na haya!
 
Mimi nipo tumbi tumefika kibaha kwa mathias basi moja wakatuomba msaada kuwa kuna majeruhi ndani tusaidie kuwafikisha hospital
 
Mods
kuna umhimu wa kuwa na jukwaa la ajari.
kwani Tz ni Barahhhhh....

Poleni wafiwa na majeruhi pia.
 
Ajali hii mbaya imetokea maeneo ya Mbwewe Bagamoyo.

meridian1-640x400.jpg
 
!!!! Mungu wangu wa Ibrahimu awaepushe majeruhi na vifo wapone upesi. Serikali isimamie ipasavyo uokoaji wa waliosalimika na matibabu yao.
 
Back
Top Bottom