msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,886
Japo ajali haina mwenyewe ila kimsingi hawa jamaa uendeshaji wao ni hatari sana!wanakimbiza sana basi hili utadhani lina engine ya air force one!kama unajali maisha yako haya mabasi hayafai kupakia hata chembe.