Ajali mbaya ya basi la Meridian

Ajali mbaya ya basi la Meridian

attachment.php
 
Daaah hiyo ni ajali mbaya sana kuwahi kuiona yaani gari siti zote zipo nje!!!!

Kuna ajali kama hii ya basi kukatika roof na kuacha seat nje imewahi kutokea njia ya Songea nafikiri milima ya Lukumburu kitu kama hicho miaka ya 90s, sikumbuki jina la basi, na nyingine miaka ya 2000 karibu na Iringa baada ya Ilula inafanana na hii, hiyo ndo ilikua mbaya sana watu kama 45 walipoteza maisha palepale, nakumbuka maiti zilikua zinatolewa na kulazwa nje ya mortuary ya hospitali ya Iringa kwa ndugu na jamaa kuzitambua kama siku tano hivi. Hizi ajali ukiona umesafiri salama, mshukuru Mungu.

Pia ni muhimu sana kutaarifu ndugu jina la basi unalosafiri nalo ili katika mazingira kama hayo wapate pa kuanzia kumtrace ndugu yao.
 
Mwenyezi Mungu awrudishie afya zao mapema ameni.
 
Ajali mbaya ya gari iitwayo meridean ikitokea Moshi kwenda Dar imepata ajari mbaya maeneo ya kimange kwa kukatika paa la ju. Idadi ya vifo na majeruh haijajulikana

mmmmh,meridian hutokea tarakea kupitia rombo kuja dar,kwakweli haya mabasi yanakimbia,,,,,,,,DAHHHHH
 
mkuu umekurupuka mbna hii habr ipo jamvini afu isitoshe hapa sio mahala pake
 
Ee MUNGU utusamehe watanzania, na kunyoosha mkono wako wa uponyaji uwaponye majeruhi. Poleni wafiwa wote.
 
Basi la kampuni ya Meridian limepata ajali, inasemekana kuwa watu kadhaa wamepoteza maisha. Shuhuda aliyekua kwenye basi hilo, 'MANUSURA' ameniarifu tukio hili nitawajuza pindi habari zaidi zitakapo nifiki.
 
mkuu uzi huo umeletwa tangu saa tano na picha ziko jukwaa habari mchanganyiko
 
Poleni sana kwa walioguswa na hii Ajari mbaya jamani. Ila lawama nyingi nazipeleka kwa ma-Vehicle Inspector wa kila Mkoa, ili Basi la Meredian nililipanda miezi michahche iliyopita kutoka Rombo kuja Dar,lkn kuja kufika ilikuwa shughuli, tulipata brakedown pale Korogwe tutakaa masaa kadhaa tatizo likiwa na Breki.
 
vp hlo gar lilikuwa linatoka api coz kuna ndugu zangu wamepand meridian
 
Back
Top Bottom