una elkopta nn? mbona umetaja maeneo mengi kwa wakati mmoja wakati unalalamika kuna folen????????
umeripoti ki div 5
Mtava ndo nn? weee USIBANEEE PICHA!
Bora umemwambia maana mie sijaelewa chochote, anandika kama vile kuna mwenzake anashindana naye ili awahi kupost thread
Watu wanakuwa na haraka zaidi ya kukamilisha mipango yao kabla mwaka uishe na matokeo ndiyo hayo.
Dah! sjui kwa nini mwisho wa mwaka ajali na vifo vinakua vingi!
umeripoti ki div 5
kuna ajali kubwa hapa, fuso mbili moja limeanguka juu chini, lingine lilochomekea mwenzake limetimuka na bodaboda iloyaingilia imepondwa sanaaaa, pls police nendeni pale mkasaidie njia ipanuke kwani kuna foleni balaa, pia nyuma ya hapo mtava kuna gari la azania lilobeba mpunga limeanguka pia watu wanazoa mpunga askar anawatishia na gobole yan tbc taifa napo kuna ajali yani leo sijui kama nitafika kwangu salama.
yani leo sijui kama nitafika kwangu salama.
Watu wakiambiwa hizi ni sherehe za kipagani na kishetani wanakataa.
Mungu atuepushie shari za sherehe hizi.
Habari za usiku mrembo, kauli yako inahashiria kama umepakatwa. Samahani mie siyo mdau wa kauli hizi ila umenilazimisha nizitumie.
Ngoja nije kuwasachi majeruhi...fursa hiyo
Wala hujakosea, kupakatwa haki yangu, au na wewe unapakatwa?
nawe ujaelewa nini saa, nimekwambia ajali imetokea na kuziba njia ya nyerere road nikiomba askar msaada waje kusaidia, utakuwa mjamzito wewe wagumu sana kuelewa