Ajali mbaya kituo cha mabasi Ubungo

Ajali mbaya kituo cha mabasi Ubungo

menyidyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2010
Posts
1,339
Reaction score
194
Kuna Ajali imetokea ikihusisha mabasi na maloli. Watu wameumia sana Pamoja.

=======
Ajali mbaya imetokea muda huu hapa Ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajali imehusisha magari 6 likiwemo UDA.

Mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha.

Tunaendelea na uokoajii.

Taarifa zaidi na picha nitawapatia punde

Picha;

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 
Ee mabasi ya mikoani au mabasi ya safari za humu humu ndani. tutajie majina ya hayo mabasi mkuu. asante
 
Nyuzi ipo nusu hata tukitaka kutoa msaada hatuna pa kuanzia jazia nyama uzi wako
 
ajari mbaya imetokea muda huu hapa ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. ajari imehusisha magari 6 likiwemo uda. mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha. tunaendelea na uokoajii. taarifa zaidi na picha nitawapatia punde
 
huyu mwandishi atakuwa mmoja wa majeruhi hadi kashindwa kumalizia thread yake. pole sana mkuu
 
ajari mbaya imetokea muda huu hapa ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. ajari imehusisha magari 6 likiwemo uda. mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha. tunaendelea na uokoajii. taarifa zaidi na picha nitawapatia punde

tunasubili picha mkuu
 
Uzi wa tangu saa nne asubuhi hadi sasa hakuna status? Au mleta habari alikuwa anawahi kibaruani? Watu wa media mlioko huku mbona hii ni news hamtugawii huku JF? Poleni sana wahanga wa hii ajali iliyohusisha magari sita.
 
Lori lime fail break likagonga uda na kusababisha magari mengine saba kupata ajali hakuna aliyekufa ila kuna watu wamevunjika miguu na viuno..hivyo ndo nilivyopata habari kutoka pale ubungo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Lori lime fail break likagonga uda na kusababisha magari mengine saba kupata ajali hakuna aliyekufa ila kuna watu wamevunjika miguu na viuno..hivyo ndo nilivyopata habari kutoka pale ubungo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Mungu awape ahueni majeruhi wote.
 
Mbona mim niko ubungo sioni hiyo ajali, ubungo ya mkoa gani hiyo
 
Back
Top Bottom