Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 665
"Kazi ya Mungu haina makosa" haina exceptions.Hii kauli siipendi basi tu. Mambo mengine ni ya kibinadamu alaa!!!
Tusimchagulie mungu vifo ambavyo tunadhani vinakubalika au visivyokubalika.
Mungu kasababisha ajali ya baiskeli akaona haitoshi, akapeleka wengine kushangaa shangaa eneo la ajali, ukaja m-basi mwingine ukawazoa. Busara za kimungu anazielewa yeye mweyewe, tusijaribu kumchunguza. Warumi 11:33