Ajali mbaya: Basi la Sumry laua 14 huko Singida!

Ajali mbaya: Basi la Sumry laua 14 huko Singida!

Duh?!!,sasa walijisahau vipi hadi wasilione basi linakuja kuwapitia?.

Nadhani walisahau kuweka alama (triangle na majani) za kuelekeza kuwa kuna ajali au ukute sehemu ya ajali ilikuwa kwenye kona kali au mteremkoni
 
Ajali hizi mpaka lini jamani????
Mungu azilaze roho za marehemu wote mahali pema peponi, Amina
 
Dah! walale pema, inauma hakika
 
Hilo basi limetokea kigoma likielekea dar.
 
waliopo eneo la tukio watujuze mana kwenye taarifa ya hbr 2tasikia watu 17 au zaid. Poleni sana
 
Kila ninaposafiri na gari langu. askari wa barabarani hua wanauliza vitu vinne kila wakisimamisha gari. leseni. kadi ya gari. hii ni STANDARD east africa yote. Lkn wa tz huuliza pia fire extinguisher na triangle. Sasa jana askari marehemu alisahau matumizi ya triangle kitu ambacho wao wanaona kinazuia ajali
 
Poleni sana ndg zangu mliofikwa na majonzi na pia RIP kwa marehemu wote.

Mi nashauri tuwe tunachukua tahadhari jamani ndg zangu hasa kwenye ajari ambazo zipo ktk hari hatarishi kama hizi hakuna ulazima wa kwenda kurudikana pamoja barabari kama hakuna wahanga wa kuokolewa basi tuwaachie traffic wafanye kazi ya upimaji kwa tahadhari kubwa kama kuweka vifaa vya utambuzi wa ajali i.e triangle,majani etc kuliko kujazana kwingi barabarani.
Mathalani ilipoanguka helkopta ya kova juzi watu walihamishia maskani ya kahawa kwenye eneo la tukio bila tahadhari kuwa zozote, ingelipuka wengi wangeangamia.
 
pole zao wale wote waliokuwa wanawategemea waliofariki..
 
Eeh jaman mbona mna lugha chafu ivo badala ya kuwaombea waliotutangulia nyie mnaanza kuongea mashuzi nyie ni ni watu wa kudharauliwa sana
 
Ajali niaajali ila kwa singida imezidi kwakweli dah kwa imani nyingine sindo jumanne siku ya kuto sadaka?
 
poleni sana wahusika wote na made leva tuwe makini tuwapo barabarani.!
 
Eeh jamani Mungu awape msamaha waliotutanguli mbele yaki atunusuru na sisi tunaoendelea kuishi maana ajali zimezd mno kua nyingi
 
Imetokea usiku huu ajali mbaya maeneo ya Ikungi, Singida ikilihusisha basi la Sumry linalosafiri kati ya Kigoma-Dar.

Inasemekana mwendesha baiskeli alikuwa akivuka barabara lori likamgonga ghafla wanakijiji wamejaa kushangaa tukio na askari akipima ajali ndipo likatokea basi la Sumry na kugonga watu kumi na tatu pamoja na askari ni wa 14 mpaka sasa ndio idadi kamili ya waliopoteza maisha.

Mungu awalaze mahali pema Amina.

==========
ZAIDI:
==========

Very sad kwa kweli and may their soul Rest In Peace..but naomba nimsahihishe mwandishi kwamba sio watu 14 ni watu 15 waliokufa pamoja na yule wa baiskeli.
 
Back
Top Bottom