Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
Duh?!!,sasa walijisahau vipi hadi wasilione basi linakuja kuwapitia?.
Nadhani walisahau kuweka alama (triangle na majani) za kuelekeza kuwa kuna ajali au ukute sehemu ya ajali ilikuwa kwenye kona kali au mteremkoni