Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Ipo siku utakuja kuniamini, na wala mimi sijasema hilo kwa ajali zote!Nilitegemea jf members wanafikiri zaidi GT, kumbe watu wanafikiri kiwangu hiki cha UCHAWI!!! Kwanini watu tusifikiri zaidi kidogo kujua mazingira yaliyosababisha ajali ambayo itasaidia siku za mbeleni kuliko tukawa wavivu au tukajizuia na kuishia hapo kwenye uchawi. Sasa itafika wakati kila ajali jibu litakua UCHAWI au KAFARA?.