Ajali mbaya: Basi la Sumry laua 14 huko Singida!

Ajali mbaya: Basi la Sumry laua 14 huko Singida!

Poleni wafiwa na mungu azilaze roho za marehemu pema peponi
 
Ajali zinamaliza sana watu.MUNGU warehemu marehemu wote pia uwafariji wafiwa.
 
Sasa tusubiri tuone Sumri atakavyoleta Ma Yhutong na Zhong Tong ya kumwaga! Usifanye mchezo na Kafara! Yale ma-ngara ngara tutayasahau!
 
jamani poleni hilo basi lilikuwa linatokea wapi kwenda wapi pengine kuna ndugu zetu humo

Uwe unasoma vizuri na kuelewa.
hata ukiandikiwa tena wewe n mvivu kusoma.
Ilikuwa inatoka Kigoma kwenda Dar. eneo ni Itungi Singida. Waliopoteza uhai ni binadamu 14. Basi la Sumry.
 
dar ni zaidi ya habari,haya majanga mbona yanazidi,tatizo hatuchui taadhari mapema,mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi,AMEN.
 
Yale yale ya Barabara ya Kilwa?? Ajali juu ya ajali. Wananchi wanakaa barabarani usiku kushangaa ajali nao wanakutw na ajali na wengine tunabaki tukiendelea kushangaa.. ajali juu ya ajali
 
Duh?!!,sasa walijisahau vipi hadi wasilione basi linakuja kuwapitia?.
 
Hakika safari moja, huanzisha nyengine
Mwenyeenzi uwasamehe maiti wetu na uwarehemu wote kwa ujumla
 
Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi aamen.yani watu wanajaa barabarani hadi basi linafika na kuwagonga hapo mahala ni kona au!na hilo basi inamana halina ata muungurumo so sad!
 
Picha for proof

Komaa mwili na ubongo wewe! Umeambiwa ajali mbaya imetokea halafu unataka picha? Umenikasirisha sana kwa mzaha wako!

Huna adabu wewe!



RIP marehemu wote, MUNGU awape uponyaji majeruhi wote, Amina!
 
Back
Top Bottom