Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
Watu nane wanahofiwa kufa kwenye ajali iliyohusisha Fuso, DCM na Hiace. Imetokea maeneo ya Mtongani leo asubuhi.
Watu nane wanahofiwa kufa kwenye ajali iliyohusisha Fuso, DCM na Hiace. Imetokea maeneo ya Mtongani leo asubuhi.
Very... Very... Very... Sad...RIP MAREHEMU WOTE.
haya jk akatoe rambi rambi maan ndio kazi anayoijua.....rip
Kikweli ni ajali mbaya sn,enyi madera mtatumaliza jaman!yan watu wamejeruhiwa vibaya wengine wamekufa!rip marehemu!jaman tutokapo asubuhi na tukarudi salama nyumban hatuna budi kumshukuru mungu!