C CHUAKACHARA JF-Expert Member Jun 3, 2011 12,358 6,422 Feb 28, 2012 #21 Anheuser said: kazi ya Mungu ina makosa Click to expand... Wakikusikia wanaomjua Mungu kuliko watu wote utajuta.
Anheuser said: kazi ya Mungu ina makosa Click to expand... Wakikusikia wanaomjua Mungu kuliko watu wote utajuta.
M Majala Kimolo JF-Expert Member Aug 3, 2007 342 39 Feb 28, 2012 #22 Mwenyezi Mungu awasamehe madhambi yao na awaingize peponi marehemu hawa, na majeruhi wapone haraka bila ulemavu. Inna Lillahi wainna ilayhi rajiuwn
Mwenyezi Mungu awasamehe madhambi yao na awaingize peponi marehemu hawa, na majeruhi wapone haraka bila ulemavu. Inna Lillahi wainna ilayhi rajiuwn
Jeji JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,975 371 Feb 28, 2012 #23 R.I.P......... na majeruhi wapone haraka.
1 19don JF-Expert Member May 13, 2011 672 205 Feb 28, 2012 #25 RIP wapendwa wetu na mungu awape nafuu majeruhi wote