Ajali: Basi la Hood laua mmoja na kujeruhi 27

sometimes ukichunguza utakuta dreva ni mmoja kutoka mbeya hadi arusha
kwa wenzetu mtu huruhusiwi kuendesha gari zaidi ya saa 6 peke yako
SUMATRA wakomae na hili, basi liwe na madreva wawili waliofuzu vyuo vya usafirishaji na sio vinginevo
 
Mabasi yanayo toka mbeya kwenda Arusha. Si yanapindia Chalinze? Mlandizi lilikuwa linaenda wapi?
The issue hapa watu hamjui sehem za mbalimbali huko njiani, kwaiyo ungesikia eneo linaloitwa Chalinze mzee karibu na dodoma napo ungedai chalinze c ipo karibu na Dar? Ilo ni jina tu!
 
Nadhani wanabadilisha dereva Moro, hana anayewza kuendesha gari Mbeya-Arusha kwa masaa wanayotumia, wanatoka mbeya saa 12, wanafika Arusha Saa 5 usiku

sometimes ukichunguza utakuta dreva ni mmoja kutoka mbeya hadi arusha
kwa wenzetu mtu huruhusiwi kuendesha gari zaidi ya saa 6 peke yako
SUMATRA wakomae na hili, basi liwe na madreva wawili waliofuzu vyuo vya usafirishaji na sio vinginevo
 
Mmeona uzuri wa body ya mabasi original ingekuwa yale mabasi yenu yenye mabodi ya temeke hapo ingekuwa 27,28
 
Mabasi yanayo toka mbeya kwenda Arusha. Si yanapindia Chalinze? Mlandizi lilikuwa linaenda wapi?


Acha kuchafua kurasa ilimradi tu uonekane wewe ni mchangiaji hodari wa madaa wakati tangu umejiunga humu hujawahi kuchangia hoja yoyote ikaonekana ya maana kwa watu, soma hoja imeanzia wapi, pili tumia akili kufikiri kuwa endapo mleta mada atakuwa amekosea kidogo je anaamaanisha nini. si ajabu mleta mada ni abiria ambaye vituo vya njia hiyo havijui kwa ufasaha. sasa watu wanajidai kusahihisa saana. haya ngoja niwaulize swali. wiki iliyopita lori lilianguka kijiji cha FUFU mnapajua hapo ?
 
Acha kuchafua kurasa ilimradi tu uonekane wewe ni mchangiaji hodari wa madaa wakati tangu umejiunga humu hujawahi kuchangia hoja yoyote ikaonekana ya maana kwa watu, soma hoja imeanzia wapi, pili tumia akili kufikiri kuwa endapo mleta mada atakuwa amekosea kidogo je anaamaanisha nini. si ajabu mleta mada ni abiria ambaye vituo vya njia hiyo havijui kwa ufasaha. sasa watu wanajidai kusahihisa saana. haya ngoja niwaulize swali. wiki iliyopita lori lilianguka kijiji cha FUFU mnapajua hapo ?

KyanaKyoMuhaya said:
Mabasi yanayo toka mbeya kwenda Arusha si yanapitia Chalinze? Mlandizi lilikuwa linaenda wapi?

Mkuu nimeuliza swali kadri ya upeo wangu ili nieleweshwe. ndio maana nimeweka Alama hii "??????" mchango na ukosoaji uko wapi?

:A S-confused1:Tatizo nadhani linategemea shule uliyosoma "kufundishwa kusoma" huko kijiji cha FUFU. :A S-confused1:


image.jpg
watu8....... Huge!

 
Last edited by a moderator:
Nadhani wanabadilisha dereva Moro, hana anayewza kuendesha gari Mbeya-Arusha kwa masaa wanayotumia, wanatoka mbeya saa 12, wanafika Arusha Saa 5 usiku

wapo mkuu!!mara nyingi nimesafiri na dereva mmoja tu mby arusha!mar chache sana inakuwa tofauti!
 
Back
Top Bottom