washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 717
hizo gari zimechoka
hizo gari zimechoka
Nadhani wanabadilisha dereva Moro, hana anayewza kuendesha gari Mbeya-Arusha kwa masaa wanayotumia, wanatoka mbeya saa 12, wanafika Arusha Saa 5 usiku
hizo gari zimechoka
Labda huna historia sahihi ya HOOD. Magari haya yanapata ajali kila mara na kibaya zaidi wahanga wa hizi ajali halipwi chochote na aidha Hood mwenyewe wala Insurance company . Binafsi Ninazo taarifa timilifu.Hood haina historia ya kupata ajali hovyo hovyo ,ni moja ya magafi yasiyo na historia ya ajali kabisa,imetokea tu bahati mbaya,tuulize watu wa morogoro,