wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,187
Basi la kampuni hilo linafanya safari zake kati ya Mbeya - DSM limepata ajali leo maeneo ya Mikumi wakati likitokea Mbeya.
Chanzo cha ajali ni mwendokasi wa basi la Abood na dereva kushindwa kulimudu gari ilo lililopelekea kugonga basi jingine kwa nyuma.
Madhara kwa abiria
Hakuna madhara yoyote kwa abiria na watumiaji wengine wa maeneo yao.
Chanzo cha ajali ni mwendokasi wa basi la Abood na dereva kushindwa kulimudu gari ilo lililopelekea kugonga basi jingine kwa nyuma.
Madhara kwa abiria
Hakuna madhara yoyote kwa abiria na watumiaji wengine wa maeneo yao.