chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,695
- 4,949
Huu ndio ukweli, vyombo ya habari vya umaa yaani Redio, Tv na magazeti vinatumika kama vinamilikiwa na chama.
Katika nchi yenye kuimba Demokrasia ya kweli ni tatizo sana na haikubariki kabisa.
''Mfumo wowote unatunga sheria kandamizi au kuweka mazingira yasiyonauwiano sawa ktk mfumo wa vyama vingi, hugeuka shubiri kwa chama kilichopo kinapopoteza dola''
Katika nchi yenye kuimba Demokrasia ya kweli ni tatizo sana na haikubariki kabisa.
''Mfumo wowote unatunga sheria kandamizi au kuweka mazingira yasiyonauwiano sawa ktk mfumo wa vyama vingi, hugeuka shubiri kwa chama kilichopo kinapopoteza dola''