...Nyani Ngabu kakwambia kesho Friday the 13th ukambishia!...
Zamani pia yalikuwepo mambo haya, ila enzi hizo watoto wa namna hii na wengineo wanaozaliwa na viungo vya ziada 'inasimuliwa' ama waliuliwa au walifichwa.
...katika mfuko wa uzazi, huenda mimba ilitunga 'viumbe' wawili, ila kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake, embryo moja ikawa infused kwenye embryo ya pili na kusababisha baadhi tu ya viungo kusalia kwenye embryo ya pili ambayo matokeo yake ni mtoto huyo.
lakini mnh, ...basi katika vyoooote ndiyo iwe dhakar,?!