Ajabu lakini Kweli

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,096
Reaction score
828,939
1. Mwanasheria anatumai utaingia kwenye Shida. (Uwe mtuhumiwa)

2. Daktari anatumai uuumwe/upate shida ya kiafya

3. Polisi anatumai uwe Mhalifu.

4. Mwalimu anatumai Uwe Mpumbavu

5. Mwenye Nyumba anatamani usujenge Nyumba yako

6. Daktari wa meno anatumani meno yako yaoze

7. Fundi anatumai gari lako liharibike

8. Mtengeneza majeneza anataka ufe.

9. Ni Mwizi pekee ndiye anayekutakia Mafanikio katika Maisha yako!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndio mfumo wa maisha ulivyo kutegemeana, nasi binadamu tunategemea kupata kitoweo kwa wanyama kama mlo ambayo hio inagarimu maisha yao.
tupo kwa kufaana na kufaidiana
 

Maisha ni matatizo..
 
Mkuu Dactari na Mwalimu umewaonea,this is charity work kaka,na wito kama wito mwingine japo wachache wanautumia ndivyo sivyo,but 90% am telling you wanajitolea kikoree.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…