Inasikitisha,na kushangaza,kusikia eti baadhi,ya maeneo,walimu wa primary hawakusaini fomu za kuunga mgomo,wakati wao ndo wana hali mbaya ya mishahala midogo! Uu tuuite ujinga au..?
Inasikitisha,na kushangaza,kusikia eti baadhi,ya maeneo,walimu wa primary hawakusaini fomu za kuunga mgomo,wakati wao ndo wana hali mbaya ya mishahala midogo! Uu tuuite ujinga au..?
Ni ujinga mkuu!! siyo mtazamo tofauti...au ndiyo kweli kuwa wengi walifoji vyeti kwa ajili ya kupata angalau UALIMU na hivyo wanaona wakigoma watafukuzwa kazi na watakikosa hata hicho kodogo wanachokipata???? Kazi kweli.
Ni ujinga mkuu!! siyo mtazamo tofauti...au ndiyo kweli kuwa wengi walifoji vyeti kwa ajili ya kupata angalau UALIMU na hivyo wanaona wakigoma watafukuzwa kazi na watakikosa hata hicho kodogo wanachokipata???? Kazi kweli.
mathew tusiendekeze ujinga wa kusapoti waliokwisha ujkubali ujinga....hivi utafanyiaje kazi cheti cha kununua au cba mwenzio? Inamaanisha wewe hauexist
Hali ngumu ya maisha kutokana na mishahara midogo wanayoipata ndiyo iliyo wafanya waogope kujaza form hizo kwani wanaogopa kupoteza hata hicho kidogo wanacho kipata.