agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,392
Utajua hujui ๐ ๐ ๐ ๐ ๐@agata edward chura ipo?View attachment 1264906
Utajua hujui ๐ ๐ ๐ ๐ ๐@agata edward chura ipo?View attachment 1264906
Now you know@agata edward chura ipo?View attachment 1264906
Huu msemo wa wanawake hatupendani huwa siuelewi.Khaa wewe mkaka una roho ya pekee kweli. Mimi nilidhani wanawake ndio hatupendani kumbe hadi wanaume
Nashangaa sijui anakwama wapi.Kuna watu wanachezea bahati jaman
No rest for a black man
Bora kumchana kishkaji, kuliko kuleta hoja huku. Wanaume tunayamaliza mambo kama haya kwa akili na bila kutengeneza chuki na washkaji.What if simu yake ilizima chaji??
We mchane tuu kuwa moja mbili Tatu basi
Umewai kukerwa na harufu ya jasho la mtu mkuu??? Afu ukute muda huo hauna mood ya kujichanganya na mtu akili yako inajiwazia enyewe tu, namwelewa jamaaHapo kinachokupa shida ni huo msosi..we weka chakula mezani mle hata kama ni kidogo acha uchoyo
Kwa kuwa wewe ni mwanamke ni sawa. Ila sisi wanaume haiko hivyo.Umewai kukerwa na harufu ya jasho la mtu mkuu??? Afu ukute muda huo hauna mood ya kujichanganya na mtu akili yako inajiwazia enyewe tu, namwelewa jamaa
Sure bro ...Ila Sasa n wachache ndo wanaelewa