Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,889
- 4,294
Zipi hizo mkuuBaada ya kumfanyia figisu mpaka kaamua apumzike kimziki
Zipi hizo mkuuBaada ya kumfanyia figisu mpaka kaamua apumzike kimziki
Hata hivyo huyo belli tisa yeye mwenyewe alishikwa mkono na Afande Sele baada yakuona hasikiki ingawa anakipaji ndipo akamshika mkono nakuja naye DarBelle 9 alichomoka mwenyewe na hit song "sumu ya penzi" nadhani 2009 and since then akawa anapandishia hit after hit, hiyo dear gambe ilikuja baadae sana
Aisee Mabeste sijui alifail wapi maana jamaa nilikuwa nakubali sana anavyochana. Napenda sana ile Ngoma yake aliyomshirikisha tena Jux inayoitwa - Sirudi tena.
Nilikuwa napenda uandishi wake wa kuchanganya kingereza na kiswahili.
RIP Pancho Latino, jamaa alikuwa mkali ila mziki haukumlipa kwa kiasi anachostahili.
Hii verse ni hatari... Ngoja nikasikilizeNa log out hii si reverse, bora peke yangu zaidi ya yule mama bas
Wapi safe place progress mitikas no stress
confidence money power..
Mi sirudi tena nikirudi ni accident, exchange rafiki job ni evidence kwangu holiday..
Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
Na log out hii si reverse, bora peke yangu zaidi ya yule mama bas
Wapi safe place progress mitikas no stress
confidence money power..
Mi sirudi tena nikirudi ni accident, exchange rafiki job ni evidence kwangu holiday..
Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
Hii era ilikuwa ya bhits yani ngoma zote kali zilikuwa from bhits. Hapo kulikuwa na wasanii wakali wote.
Maisha yanaenda kasi sana aisee ni kama vile yesterday
Imepokelewa vyema hiiImekuwa ni kawaida katika siasa, biashara, michezo, muziki, filamu na mitindo, kila anayefanya vizuri upande huo, kuna mtu alimshika mkono au kumvutia kufanya mojawapo kati ya hayo machache.
Je, kwenye muziki wa Bongofleva hali ipoje? Wasanii wamekuwa wakishirikishwa kwenye nyimbo kila siku, lakini kuna wale ambao kufanya hivyo
So?It is childish
Hapa walitisha na Dully sykes.Shetta - Mdananda bwana
Go get some money
Kwangu Adam Juma atabaki kuwa bora kwa wakati wote, embu cheki wimbo wa Marioo for you utajua jamaa hachujiHanscana asipoangalia atapotea,sasa hivi kushuti kwenye majengo mazuri kisha unaedit video alafu unategemea ulipwe mamilioni itakuwa ngumu sn Kwa wasanii kufanya hivyo
Aongeze ubunifu..jamaa wa South America ni wakali sn wale watu,wanachoimba sikielewi lkn video zina ubunifu mkubwa sn.Bongo tukijaribu Kuwaiga japo kidogo Tu mambo yatakuwa poa
Jamaa yupo vizuri sn..namrespect piaKwangu Adam Juma atabaki kuwa bora kwa wakati wote, embu cheki wimbo wa Marioo for you utajua jamaa hachuji
Ninazo tayari, vipi nikugawie? KhaaaahGo get some money
Aint like free moneyNinazo tayari, vipi nikugawie? Khaaaah
Bas relaaax.Aint like free money
Sawa babalaoBas relaaax.