Aisee! Kumbe Dar kuna matajiri mashoga

Aisee! Kumbe Dar kuna matajiri mashoga

Kweli humu ndani kuna watu washazoea kuwaingilia wanaume wenzao, maana watu wanazidi kuni PM wanaomba namba ya huo shoga, jamani tuwe waelewa basi hiyo namba ya huyo shetani niliifuta sina kabsa.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
pole sana mkuu.wa aina hiyo wapo wengi sana mjini humu.bora umebadili line.akafie mbele huko,.mwenyewe yalishanikuta kwa jamaa mmoja hivi nilipokuwa arusha maeneo ya kimandolu,nilikuwa namheshim sana yule jamaa na alikuwa mlokole kupitiliza,yaani akipiga hata chafya anakemea utasikia pepo shindwa,akikohoa utasikia asante yesu,siku ya siku akaniita kwake,mara kaweka x mara akaanza kunitania eti kuangalia kidogo tu nimeshasimamisha.nilipobisha mara akadai nivue aone kama sijasimamisha,nilibaki namshangaa tu ckuwah kupata jipu.baada ya kubishana kama dk 5 hivi kwa hasira nikafungua zipu nikamuonyesha sijasimamisha,nilipokuwa nafunga zipu akanidaka mikono akaniita kwa jina "chakufia nini naomba nikalie japo kwa dk 3 tu",nikamwambia kumbe ndo huu ujinga unafanyaga na flani eeh?(kwa maana kuna swahiba wangu mmoja walikuwa marafiki wakubwa sana,yaani kila sehemu utawakuta wawili.).nilimwambia nitamkata vitasa.nilitumia nguvu kuufikia mlango na nilipokuwa naondoka akaniambia basi nisije nikamsimulia mtu nilichokiona.nilienda moja kwa moja kwa yule swahiba wangu nikamuuliza anajua kama swahiba wake yule analiwa?jamaa alionekana kustuka sana na kuanza kupepesa macho hakuamini kama nitamuuliza kitu kama kile.huo ndo ukawa mwisho wa uswahiba wangu na hao wawili.

Dah namimi nina kisa changu, kuna siku nilikuwa na marafiki tunapiga mbili tatu bar, ilikuwa usiku wakati tunaendelea akaja jamaa mmoja akatujoin baada ya bia kadhaa jamaa akawa ananiambia nimbep sasa nikawa najua amemisplace simu yake nikawa namwambia anipe namba nipige hakika hatukuelewana yy akawa anakazania twende nikambep baadae kuna jamaa aliusoma mchezo akanitonya kuwa hiyo njemba ni shoga kumbe wakati ananiomba nimbep alikuwa anataka nimfire!!! aisee nilimfukuza mezani kama mbwa tukahama bar na marafiki.
 

Ila we mwana ni mkorofi sana.. Nimefungua link hiyo ya diploma inaonesha ni mwaka 2013 dogo ndo kamaliza four, anauliza kama anaweza kusoma diploma baada ya kumaliza certificate eckenford. Kwa maana ni njia alitaka pitia, hata hivyo inaonesha akaamuaa kusoma advance, sasa wewe ulitaka kutuaminisha dogo msanii. Acha kampelele weweeee au ndo umetajwa?
 
Ukiwa huna hela laki tano utaona hela nyingi sana....Halafu hujui yeye anapata ngapi baada ya kutimiza agano lake. Bado hujamjua shetani na kazi zake wewe..

Very Great Point MADAM T watu wanajitoa utu kwa kitu kidogo sana wakidhania ni kikubwa hakika vijana wa sasa tuko kwenye changamoto nyingi tunahitaji msaada zaidi Kwa Mungu wetu tuweze kuepukana nayo
 
Last edited by a moderator:
Ila we mwana ni mkorofi sana.. Nimefungua link hiyo ya diploma inaonesha ni mwaka 2013 dogo ndo kamaliza four, anauliza kama anaweza kusoma diploma baada ya kumaliza certificate eckenford. Kwa maana ni njia alitaka pitia, hata hivyo inaonesha akaamuaa kusoma advance, sasa wewe ulitaka kutuaminisha dogo msanii. Acha kampelele weweeee au ndo umetajwa?

mkuu huyo kampelele ni TEAM MPOLE SANA achana nae.
 
Dah namimi nina kisa changu, kuna siku nilikuwa na marafiki tunapiga mbili tatu bar, ilikuwa usiku wakati tunaendelea akaja jamaa mmoja akatujoin baada ya bia kadhaa jamaa akawa ananiambia nimbep sasa nikawa najua amemisplace simu yake nikawa namwambia anipe namba nipige hakika hatukuelewana yy akawa anakazania twende nikambep baadae kuna jamaa aliusoma mchezo akanitonya kuwa hiyo njemba ni shoga kumbe wakati ananiomba nimbep alikuwa anataka nimfire!!! aisee nilimfukuza mezani kama mbwa tukahama bar na marafiki.

mkuu hawawatu ni shida
 
Mkuu ngoja nikukosoe kidogo kwamba KUBAKWA ni kuingiliwa kimapenzi bila idhini ya mtu au sio, sasa hawa wengine huwa wanataka kuingiliwa kinyume na maumbile, nakumbuka mwaka jana kipindi tunaingia form six pale mbezi beach high school kuna watu wawili ambao ni gays na wote walikua comb.ya HKL wakishua balaa, walifukuzwa kwa sababu ya huo upuuzi wao, sikatai kwamba watoto wa uswahilini wengine kwl ni gays, ila wakishua nime wa solute.


Koma kabisa, wa kishua gani atasoma Mbezi Beach High school, usidanganye , wewe mwywewe ulimla huyo gay unataka kutudanganya hapa
 
Hongereni kwa ujasili na muendelee kuwa na hekima hiyo ya kukataa maovu.zamani wazazi walikua wahofu juu ya watoto wao a kike kubakwa nk lakini Karne hii imekua vs.
pole sana mkuu.wa aina hiyo wapo wengi sana mjini humu.bora umebadili line.akafie mbele huko,.mwenyewe yalishanikuta kwa jamaa mmoja hivi nilipokuwa arusha maeneo ya kimandolu,nilikuwa namheshim sana yule jamaa na alikuwa mlokole kupitiliza,yaani akipiga hata chafya anakemea utasikia pepo shindwa,akikohoa utasikia asante yesu,siku ya siku akaniita kwake,mara kaweka x mara akaanza kunitania eti kuangalia kidogo tu nimeshasimamisha.nilipobisha mara akadai nivue aone kama sijasimamisha,nilibaki namshangaa tu ckuwah kupata jipu.baada ya kubishana kama dk 5 hivi kwa hasira nikafungua zipu nikamuonyesha sijasimamisha,nilipokuwa nafunga zipu akanidaka mikono akaniita kwa jina "chakufia nini naomba nikalie japo kwa dk 3 tu",nikamwambia kumbe ndo huu ujinga unafanyaga na flani eeh?(kwa maana kuna swahiba wangu mmoja walikuwa marafiki wakubwa sana,yaani kila sehemu utawakuta wawili.).nilimwambia nitamkata vitasa.nilitumia nguvu kuufikia mlango na nilipokuwa naondoka akaniambia basi nisije nikamsimulia mtu nilichokiona.nilienda moja kwa moja kwa yule swahiba wangu nikamuuliza anajua kama swahiba wake yule analiwa?jamaa alionekana kustuka sana na kuanza kupepesa macho hakuamini kama nitamuuliza kitu kama kile.huo ndo ukawa mwisho wa uswahiba wangu na hao wawili.
 
Umenikumbusha miaka ya 2006/2007. Kuna jamaa yangu tulikuwa marafiki sana enzi hizo tunasoma shule flan ya A-level sumbawanga. Siku moja jamaa yangu huyo alipo onana na daktari flani bingwa wa hospitali ya mkoa (sumbawanga), daktari yule mwanaume, alimbana kijana chemba na kumtaka amwingilie, kijana aliposita, aliwekewa dau la elfu hamsini ili akubali, kijana akagoma na kutoka nje akiwa haamini alichoambiwa na daktari huyo bingwa. Alikuja nisimulia akiwa haamini alichokiona, kusema kweli nami pia nilibaki pasipo kuamini kisa kile. "Daktari bingwa?" Lakini kumbe mambo yako hivo. Mungu atusaidie
 
Ila we mwana ni mkorofi sana.. Nimefungua link hiyo ya diploma inaonesha ni mwaka 2013 dogo ndo kamaliza four, anauliza kama anaweza kusoma diploma baada ya kumaliza certificate eckenford. Kwa maana ni njia alitaka pitia, hata hivyo inaonesha akaamuaa kusoma advance, sasa wewe ulitaka kutuaminisha dogo msanii. Acha kampelele weweeee au ndo umetajwa?
Unajua kama unauliza kwa niaba lazima useme hivyo kiuungwana. Huyo mkuu anayeniita majina ni vyema akalijua hilo. Source of information is very critical to every information. Ni vyema hawa vijana wakafundishwa jinsi ya kutumia mitandao. Kwa nyekundu siweki neno kwani haiingii akilini mtu anauliza Cotex wakati anaelekea mbuyuni!!! Tafakari
 
Ukiambiwa pesa ni shetani usikatae. Hayo yote ni matokea ya matumizi mabaya ya fedha.
 
wanaume wengi ni wanafki wakiwa chumbani ndo wanasifiaaa ilaaa wakiwa mbele za watu ni balaaaaa wanajifanyaaa wanauchukiaaa ushogaaa kumbe wao ndo wanaongozaaa hata hapa if wale wanaotumiaaa nguvu kuuubwaaaaa kuwatukana na kuupingaaa ushogaaa ndo wanaofanyaaa hayo mambo,bora ukubaliane na hali halisi ,live ur life ya nini kuogopaa machoni pa watu wakati moyoni unafanyaa??lov is love .....!!

Its murder to hurt someone feelings,,, love is love...
 
Back
Top Bottom