Aisee! Kumbe Dar kuna matajiri mashoga

Aisee! Kumbe Dar kuna matajiri mashoga

aisee, yan mwanaume mwenzio unamwambia akufanye ujinga kama huo seriously aaaaaah hapana kwa kwel.

Ninavyovutiwa na wadada wazuri halafu jimwanamume linijie eti nilinanilii, thubutu. Natamani watu wa aina hiyo wangetangulizwa mbele za haki mapeema. Ila basi Mungu ndiyo mwamuzi.
 
Huyo mjinga , anawa sema watoto wa kishua kwamba ni mashoga, wakati hajui lolote kuhusu watoto wa kishua, mtu mwenyewe anakuala dagaa wakavu halafu eti anajifanya ana wajua watoto wa kishua kihivyo, Nimemponda huko privae kwamba awakome watoto wakishua kudai ni mashoga wakati hawajui na hana ubavu wa kuwasogelea ,mjinga sana .Tatizo nimemponda sana ndio maan ana hasira anakuja potosha habari hapa .

Povu hili unalotoa sio bure....
 
Ninavyovutiwa na wadada wazuri halafu jimwanamume linijie eti nilinanilii, thubutu. Natamani watu wa aina hiyo wangetangulizwa mbele za haki mapeema. Ila basi Mungu ndiyo mwamuzi.

Dunia imekwisha mkuu acha tu, yan mpaka humu humu jamvini watu kama hao wapo, mimi kuna jamaa anatumia Id ya MPOLE SANA mpaka nimechoka maana kila mda anani PM vitu anavyoongea ni ujinga mtupu yan daah Yesu rudi tafadhari
 
Mkuu watu hawa wapo wengi sana hasa watoto wa mitaani wanaolala mitaani hukokariakoo mara nyingi huwa wanabakwa na waaarabu wa huko man kaa mbali na hizi people
 
Ulitaka kusema nini mkuu? au unamaanisha kuwa mtu akiuliza kitu basi ni lazima awe ni yeye anayekihitaji? kama anatudanganya kuna tatizo gani tukichangia kutokana na wazo husika bila kujali ni la kweli au uongo maana hata wewe unajua kuwa hayo mambo yapo.

Aise mkuu chukua LIKE yangu,! Kuna watu wengine hawana simu zetu hizi za internet hivo mambo ya forums hawayafahamu hivo mtu akikuuliza kitu mfano nilishawahi kuuliza ada ya makongo kama unavyojua mkuu madogo wa O level wamefaulu wengi afu wengine ndo hivo hawajapangiwa shule kutokana na matokeo yao, sasa hapa jiran kuna mtoto wa jiran yang ambaye niwa kike tiali kashaanza kusoma makongo form five. Sasa hilo limbulula linajua kila mtu akiuliza kitu basi ndo yeye.
 
Mkuu watu hawa wapo wengi sana hasa watoto wa mitaani wanaolala mitaani hukokariakoo mara nyingi huwa wanabakwa na waaarabu wa huko man kaa mbali na hizi people

Mkuu ngoja nikukosoe kidogo kwamba KUBAKWA ni kuingiliwa kimapenzi bila idhini ya mtu au sio, sasa hawa wengine huwa wanataka kuingiliwa kinyume na maumbile, nakumbuka mwaka jana kipindi tunaingia form six pale mbezi beach high school kuna watu wawili ambao ni gays na wote walikua comb.ya HKL wakishua balaa, walifukuzwa kwa sababu ya huo upuuzi wao, sikatai kwamba watoto wa uswahilini wengine kwl ni gays, ila wakishua nime wa solute.
 
They are very unluck that they never crossed my way. Siku hiyo ndiyo wataacha USHOGA wao. Nisipotaka kitu huwa silalamiki bali namaanisha.
 
Back
Top Bottom