ZeMangi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 436
- 33
Nimekuja aisee ila kibiashara zaidi,
nauza; mbege,mikate,matrekta,vifaa vya baiskel,maandazi,supu,wali,pilau,vifaa vya pikipiki,sukari,mchele,nyama ya kitimoto,sabuni,maharage,sambusa,karanga,vifaa vya ujenzi,kondomu,
pia ninaziba pancha za baiskeli,magari pikipiki,ninaosha magari na pikipiki,pia mm ni wakala wa voda,airtel,tigo na zantel.
KARIBUNI MNIUNGISHE AISEE!
nauza; mbege,mikate,matrekta,vifaa vya baiskel,maandazi,supu,wali,pilau,vifaa vya pikipiki,sukari,mchele,nyama ya kitimoto,sabuni,maharage,sambusa,karanga,vifaa vya ujenzi,kondomu,
pia ninaziba pancha za baiskeli,magari pikipiki,ninaosha magari na pikipiki,pia mm ni wakala wa voda,airtel,tigo na zantel.
KARIBUNI MNIUNGISHE AISEE!