cosmas fubusa
New Member
- Jan 5, 2014
- 2
- 1
Voda inasumbua @ mahakama
Aya na modern zao nazo awajapandisha bei!?
siku hizi wanaigana
Hawa ni wahuni tu, tulijua kuwa wanataka kuwavuta watu then wafanye unyonyaji wao!
majanga gani haya...
Voda inasumbua @ mahakama
Hauwezi kupata mkombozi wakati wanyonyaji ndio hao watunga sera.sijaona mtandao ambao ni mkombozi kwakweli
Wakati wa Nyerere tukitaka simu za nje tunakwenda "extelecom" ukisema u book kwa simu ya nyumbani unaweza kukaa mwezi hujapata simu, na bei ya chini ilikuwa 3000 kwa dakika 3, fikiria 3,000 ya mwaka 1980 ilikuwaje.
Sasa hivi hizi bei na hata zinapopanda na kushuka kwa ushindani, kwa sisi wa zamani, bado tunaona ni neema.
Wahuni, wewe msg 1000 utazituma wapi! Hopeless!Hv haya Mameseji meengi wanaweka ya nn? Bora wangeweka msg 50 halafu hzo nyingine wakaconvert either kwenye roaming au data!
Wakati wa Nyerere tukitaka simu za nje tunakwenda "extelecom" ukisema u book kwa simu ya nyumbani unaweza kukaa mwezi hujapata simu, na bei ya chini ilikuwa 3000 kwa dakika 3, fikiria 3,000 ya mwaka 1980 ilikuwaje.
Sasa hivi hizi bei na hata zinapopanda na kushuka kwa ushindani, kwa sisi wa zamani, bado tunaona ni neema.
Ndugu wanajamvi ule mtandao uliojitangaza kama baba lao nadhani unaanza kuchoka.
Hawa jamaa wamebadili pakeji kama ifuatavyo:
Vifurushi Vya Siku
1. sh 399 unapata Dk 7 + 50 SMS + 20MB
2. sh 499 unapata Dk 13 + 300 SMS + 125MB
3. sh 649 unapata Dk 20 + 450SMS + 150MB
4. sh 849 unapata Dk 25 + 500SMS + 250MB
5. sh 999 unapata Dk 30 + 1000SMS + 300MB
VIfurushi Vya Mwezi:
1. sh 9999 unapewa Dk 200 + 500SMS + 500MB
2. sh 19999 unapewa Dk 450 + 1500SMS + 1Gb
3. sh 34999 unapewa Dk 800 + 2500SMS +1.5Gb
Tusubiri kule hakatwi mtu!!!!
Ndugu wanajamvi ule mtandao uliojitangaza kama baba lao nadhani unaanza kuchoka.
Hawa jamaa wamebadili pakeji kama ifuatavyo:
Vifurushi Vya Siku
1. sh 399 unapata Dk 7 + 50 SMS + 20MB
2. sh 499 unapata Dk 13 + 300 SMS + 125MB
3. sh 649 unapata Dk 20 + 450SMS + 150MB
4. sh 849 unapata Dk 25 + 500SMS + 250MB
5. sh 999 unapata Dk 30 + 1000SMS + 300MB
VIfurushi Vya Mwezi:
1. sh 9999 unapewa Dk 200 + 500SMS + 500MB
2. sh 19999 unapewa Dk 450 + 1500SMS + 1Gb
3. sh 34999 unapewa Dk 800 + 2500SMS +1.5Gb
Tusubiri kule hakatwi mtu!!!!
Is there any coordination upstairs?
Voda i mahututi ktk suala la netweki kwa sasa