Airtel wapandisha gharama

Airtel wapandisha gharama

tatizo la msingi lipo kwenye sera, watunga sera wetu ndio board members wa haya makampuni makubwa ya simu, wakati mwingine wanamiliki shares/hisa. Ni vigumu sana kwa wananchi kupata utetezi. Tunahitaji sharia ya kuwabana viongozi/watunga sera kuwa wamiliki wa haya makampuni
 
Wakati wa Nyerere tukitaka simu za nje tunakwenda "extelecom" ukisema u book kwa simu ya nyumbani unaweza kukaa mwezi hujapata simu, na bei ya chini ilikuwa 3000 kwa dakika 3, fikiria 3,000 ya mwaka 1980 ilikuwaje.

Sasa hivi hizi bei na hata zinapopanda na kushuka kwa ushindani, kwa sisi wa zamani, bado tunaona ni neema.
 
Wakati wa Nyerere tukitaka simu za nje tunakwenda "extelecom" ukisema u book kwa simu ya nyumbani unaweza kukaa mwezi hujapata simu, na bei ya chini ilikuwa 3000 kwa dakika 3, fikiria 3,000 ya mwaka 1980 ilikuwaje.

Sasa hivi hizi bei na hata zinapopanda na kushuka kwa ushindani, kwa sisi wa zamani, bado tunaona ni neema.

nyie ndo mafisadi hata usiseme
 
Jaman kumbuken nao wapo kibiashara zaid
Japo maisha magumu. Tuvumilie tu

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Wakati wa Nyerere tukitaka simu za nje tunakwenda "extelecom" ukisema u book kwa simu ya nyumbani unaweza kukaa mwezi hujapata simu, na bei ya chini ilikuwa 3000 kwa dakika 3, fikiria 3,000 ya mwaka 1980 ilikuwaje.

Sasa hivi hizi bei na hata zinapopanda na kushuka kwa ushindani, kwa sisi wa zamani, bado tunaona ni neema.

Is there any coordination upstairs?
 
Ndugu wanajamvi ule mtandao uliojitangaza kama baba lao nadhani unaanza kuchoka.
Hawa jamaa wamebadili pakeji kama ifuatavyo:
Vifurushi Vya Siku
1. sh 399 unapata Dk 7 + 50 SMS + 20MB
2. sh 499 unapata Dk 13 + 300 SMS + 125MB
3. sh 649 unapata Dk 20 + 450SMS + 150MB
4. sh 849 unapata Dk 25 + 500SMS + 250MB
5. sh 999 unapata Dk 30 + 1000SMS + 300MB

VIfurushi Vya Mwezi:
1. sh 9999 unapewa Dk 200 + 500SMS + 500MB
2. sh 19999 unapewa Dk 450 + 1500SMS + 1Gb
3. sh 34999 unapewa Dk 800 + 2500SMS +1.5Gb

Tusubiri kule hakatwi mtu!!!!

wanataka kufidia hasara waliyopata kwenye promosheni ya 'baba lao'
 
Ndugu wanajamvi ule mtandao uliojitangaza kama baba lao nadhani unaanza kuchoka.
Hawa jamaa wamebadili pakeji kama ifuatavyo:
Vifurushi Vya Siku
1. sh 399 unapata Dk 7 + 50 SMS + 20MB
2. sh 499 unapata Dk 13 + 300 SMS + 125MB
3. sh 649 unapata Dk 20 + 450SMS + 150MB
4. sh 849 unapata Dk 25 + 500SMS + 250MB
5. sh 999 unapata Dk 30 + 1000SMS + 300MB

VIfurushi Vya Mwezi:
1. sh 9999 unapewa Dk 200 + 500SMS + 500MB
2. sh 19999 unapewa Dk 450 + 1500SMS + 1Gb
3. sh 34999 unapewa Dk 800 + 2500SMS +1.5Gb

Tusubiri kule hakatwi mtu!!!!

Hawana weekly packages tena!?? Wametuuwa sisi wa kila week tulizoea 1999
 
weekly ipo sema ya 2999 ndiyo kwishinee, substituted by 3499 na gharama juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom